Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hapo kauchapa tu usingizi mchezee uone moto wake.
Ngera cio?? Af Mkuu sehem gani........tiririka ueleweke arifu!Aieseeee baba yangu hapo amepiga 2 kiroba je akipiga mbege iliyolala si ataku atakufa kweli
mi mgeni naomba kuuliza
Eti hawa wanaruhusiwa kulewa wakiwa wamevaa gwanda? (nikiamini akiwa na Gwanda yupo kazini)
Sasa kuna usalama hapo??? najaribu kuwaza akiwa na silaha yake lindoni halafu amelewa
Naomba tusiende vitani tutumie njia nyingine kabisa twendeni hata kwenye mahakama za kimataofa ..hawa wengi wao wamefoji vyeti watatuaibisha
.View attachment 61387
Kwa sisi wajeda hii technic huwa tunaitambua na tunaitumia mara nyingi 2.
Ila kwa mahadili ya kazi sitaitaja kwa jina.