Hawa wako wapi sasa?

Duuh humu jf kuna mabronz na masistery wangu kibao shikamooni wakubwa japo nilikua mdogo ila kuna vitu nimekubuka vingi sn.
 

Mkuu zi upload youtube maana hata mimi sikumbuki tape yangu ilivyo japo ninazo nyingi sana na siwezi sikiliza zote oi

https://www.reverbnation.com/ngomanagwa/song/15363709-saleh-jabir-opp
 
Ebwana unakumbuka enzi za PUZA WA TAMBAZA?

what about mamabo ya DON BOSCO tournament?

Hapo kwenye red, dahhh Don Bosco Zanaki na Tambaza


enzi za aaah msela mimi nampenda msela ingawa hana hela msela aaaaah msela
mmmmmh mselaaa.

We jamaa ni mwana Tambaza nini!umenikumbusha mbali sana,Puza alifariki 1991 akiwa form 2,Miaka hiyo ndio miaka ambayo Kwanza unit ilianza,Tambaza alikuwepo member wa KU,aliyekuwa anaitwa Y Thang nakumbuka verse yake.Nikifa hakuna matanga juu weka panga,Y nasema Hi natoa rai, za kimasai...Enzi hizo Ras Kalikawe (R.I.P)anaishi jirani na Tambaza sec,baadae wakaja Diplomats,wakina Saigon.Kweli miaka inakimbia
 
Cha ajabu hawa jamaa wote waliotajwa wengi walishafika marekani..lakini kwa sasa ni ngumu kwa nyandu toz au stamina kwenda ata burundi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…