Hawa wajasiriamali (CHADEMA) usipokuwa makini unaweza ukawaamini!

bullet proof

Member
Sep 19, 2012
57
35
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na viongozi wake wanajitahidi kusana kuzunguka nchi nzima kufanya harakati mbalimbali za kisiasa kama chama cha upinzani kwa maana ya kujaribu kukosoa na kukejeli hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kupitia chama tawala cha mapinduzi (CCM). Harakati hizi zimeendana na maandamano makubwa ambayo mara kadhaa yamegharimu maisha ya wananchi (vifo).

CHADEMA hufanya harakati hizi zote wakijaribu kuwaaminisha watanzania kuwa wao (CHADEMA) ndio mwarobaini wa matatizo ya watanzania: ujinga, maradhi, umasikini nk. Harakati hizi huzifanya kwa ufundi mzuri saana tu kiasi kwamba kama usipokuwa makini unaweza kuwaamini kwamba kweli ni wakombozi wa taifa hili. Lakini je, kweli CHADEMA kina DHAMIRA na MIKAKATI sahihi ya kulikomboa taifa hili? Au ni ufundi na ujanja ujanja wa kijasiriamali wa kuandika 'mchanganuo' mzuri wa kibiashara ili kujipatia mtaji (kura) halafu wajitengenezee faida binafsi?

Kiukweli kabisa, CHADEMA ni kama NGO ya kutengenea faida binafsi tu na hakina mpango wowote, wa kuaminika, wa kulikomboa taifa hili na uthibitisho wangu ni huu:

KUKWEPA KODI; wakati CHADEMA wanjua kuwa kodi ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ili kuendeshea shughuli mbalimbali za maendeleo, chama hiki kimekuwa mstari wa mbele kukwepa kodi. Viongozi wake wakuu ambao hulipwa fedha nyingi (ujira/mshahar) na ambao unatakiwa kukatwa kodi, wao kwa makusudi kabisa wamasema eti chama hakilipi wafanyakazi wake mishahara kinalipa POSHO! Wanafanya hivi makusudi ili kuepuka makato ya kodi katika mishahara kwani posho huwa hazikatwi kodi. Sasa kwa maoni yangu, huu nao ni ufisadi kama ufisadi mwingine; posho gani ya 1,000,000/=?!!

Dk SLAA NA URAIS NA MALIPO YA UBUNGE: mwaka 2010, akijua kuwa ilikuwa ngumu kumshinda JK katika uchaguzi wa urais, Slaa aligoma kogombea urais kwa kuogopa kukosa MAMILIONI YA SHILINGI ZA UBUNGE! Hivyo akatoa masharti kwa chama chake CHADEMA kuwa ataingia KUJARIBU URAIS lakini chama kimhakikishie kumlipa kila kitu ambacho mbunge atakuwa anapata kama vile na yeye ni mbunge1 Sasa hivi Dk Slaa analipwa na chama chake mshahara wa mbunge,posho, amepewa gari kama mbunge nk. Sasa, kama chama kinachojipambanua kwamba kinataka kuleta mabadiliko nchini, kwanini MASILAHI HAYA BINAFSI yanapewa kipaumbele kiasi hiki? Je, hili halitoshi kumshitua mtu makini kuwa kuna maigizo yanafanyika hapa? na hakuna dhamira ya dhati ya kumkomboa mwananchi?

SUALA LA POSHO ZA WABUNGE: kati ya mambo yaliyomuweka katika wakati mgumu katika chama chake Mh ZITTO ilikuwa suala hili la kupinga sitting allowance za wabunge. ZITTO alisimama kidete na kupinga kabisa posho hizi, hadi leo ni yeye peke yake ZITTO ambaye hachukui posho hizi. Kwa mara ya kwanza niliwaona wabunge wa CHADEMA wakiungana na CCM; walikuwa wakitetea posho hizi wakati wakijua kuwa kama posho hizi zingefutwa na fedha hizi zinaongezwa kwenye maendeleo angalau kitu kingfanyika katika kwakomboa wananchi dhidi ya umasikini.

Haya, pamoja na mambo mengine mengi tu, yatoshe kutushitua watanzania kuwa tunaimbishwa wimbo ambao hatujui kiitikio chake! Watanzania hasa vijana wenzangu, tuache ushabiki huu wa kisiasa bila kujua kuwa baadhi ya wanasiasa wana ajenda zao za siri ili hututumia sisi kama ngazi tu kufikia malengo yao ya kisiasa.


......................................Mungu ibariki Tanzania na watu wake..............................
 
Chadema ni Chama kinachokua kwa kasi ukilinganisha na vyama vyote hapa nchini,kama hupendi kuhamia Chadema hulazimishwi ila kama una miwani ya mbao endelea kuona kwa kutumia miwani hiyo.
 
Mkuu,

Kwa bahati mbaya sana vijana wetu wamesha tekwa akili na hao wajasiriamali wa CHADEMA.

Vijana wamejengewa chuki kwa serikali yao wakati hawa wajasiriamali wa CHADEMA ni marafiki wakubwa wa serikali.

Ila jambo la msingi ni kwamba, CCM imejipanga kutawala karne huku CHADEMA ikijipanga kutoa matamko na kuunda jeshi.
 
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na viongozi wake wanajitahidi kusana kuzunguka nchi nzima kufanya harakati mbalimbali za kisiasa kama chama cha upinzani kwa maana ya kujaribu kukosoa na kukejeli hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kupitia chama tawala cha mapinduzi (CCM). Harakati hizi zimeendana na maandamano makubwa ambayo mara kadhaa yamegharimu maisha ya wananchi (vifo).

CHADEMA hufanya harakati hizi zote wakijaribu kuwaaminisha watanzania kuwa wao (CHADEMA) ndio mwarobaini wa matatizo ya watanzania: ujinga, maradhi, umasikini nk. Harakati hizi huzifanya kwa ufundi mzuri saana tu kiasi kwamba kama usipokuwa makini unaweza kuwaamini kwamba kweli ni wakombozi wa taifa hili. Lakini je, kweli CHADEMA kina DHAMIRA na MIKAKATI sahihi ya kulikomboa taifa hili? Au ni ufundi na ujanja ujanja wa kijasiriamali wa kuandika 'mchanganuo' mzuri wa kibiashara ili kujipatia mtaji (kura) halafu wajitengenezee faida binafsi?

Kiukweli kabisa, CHADEMA ni kama NGO ya kutengenea faida binafsi tu na hakina mpango wowote, wa kuaminika, wa kulikomboa taifa hili na uthibitisho wangu ni huu:

KUKWEPA KODI; wakati CHADEMA wanjua kuwa kodi ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ili kuendeshea shughuli mbalimbali za maendeleo, chama hiki kimekuwa mstari wa mbele kukwepa kodi. Viongozi wake wakuu ambao hulipwa fedha nyingi (ujira/mshahar) na ambao unatakiwa kukatwa kodi, wao kwa makusudi kabisa wamasema eti chama hakilipi wafanyakazi wake mishahara kinalipa POSHO! Wanafanya hivi makusudi ili kuepuka makato ya kodi katika mishahara kwani posho huwa hazikatwi kodi. Sasa kwa maoni yangu, huu nao ni ufisadi kama ufisadi mwingine; posho gani ya 1,000,000/=?!!

Dk SLAA NA URAIS NA MALIPO YA UBUNGE: mwaka 2010, akijua kuwa ilikuwa ngumu kumshinda JK katika uchaguzi wa urais, Slaa aligoma kogombea urais kwa kuogopa kukosa MAMILIONI YA SHILINGI ZA UBUNGE! Hivyo akatoa masharti kwa chama chake CHADEMA kuwa ataingia KUJARIBU URAIS lakini chama kimhakikishie kumlipa kila kitu ambacho mbunge atakuwa anapata kama vile na yeye ni mbunge1 Sasa hivi Dk Slaa analipwa na chama chake mshahara wa mbunge,posho, amepewa gari kama mbunge nk. Sasa, kama chama kinachojipambanua kwamba kinataka kuleta mabadiliko nchini, kwanini MASILAHI HAYA BINAFSI yanapewa kipaumbele kiasi hiki? Je, hili halitoshi kumshitua mtu makini kuwa kuna maigizo yanafanyika hapa? na hakuna dhamira ya dhati ya kumkomboa mwananchi?

SUALA LA POSHO ZA WABUNGE: kati ya mambo yaliyomuweka katika wakati mgumu katika chama chake Mh ZITTO ilikuwa suala hili la kupinga sitting allowance za wabunge. ZITTO alisimama kidete na kupinga kabisa posho hizi, hadi leo ni yeye peke yake ZITTO ambaye hachukui posho hizi. Kwa mara ya kwanza niliwaona wabunge wa CHADEMA wakiungana na CCM; walikuwa wakitetea posho hizi wakati wakijua kuwa kama posho hizi zingefutwa na fedha hizi zinaongezwa kwenye maendeleo angalau kitu kingfanyika katika kwakomboa wananchi dhidi ya umasikini.

Haya, pamoja na mambo mengine mengi tu, yatoshe kutushitua watanzania kuwa tunaimbishwa wimbo ambao hatujui kiitikio chake! Watanzania hasa vijana wenzangu, tuache ushabiki huu wa kisiasa bila kujua kuwa baadhi ya wanasiasa wana ajenda zao za siri ili hututumia sisi kama ngazi tu kufikia malengo yao ya kisiasa.


......................................Mungu ibariki Tanzania na watu wake..............................

Naunga mkono hoja Chadema ni matapeli
 
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na viongozi wake wanajitahidi kusana kuzunguka nchi nzima kufanya harakati mbalimbali za kisiasa kama chama cha upinzani kwa maana ya kujaribu kukosoa na kukejeli hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kupitia chama tawala cha mapinduzi (CCM). Harakati hizi zimeendana na maandamano makubwa ambayo mara kadhaa yamegharimu maisha ya wananchi (vifo).

CHADEMA hufanya harakati hizi zote wakijaribu kuwaaminisha watanzania kuwa wao (CHADEMA) ndio mwarobaini wa matatizo ya watanzania: ujinga, maradhi, umasikini nk. Harakati hizi huzifanya kwa ufundi mzuri saana tu kiasi kwamba kama usipokuwa makini unaweza kuwaamini kwamba kweli ni wakombozi wa taifa hili. Lakini je, kweli CHADEMA kina DHAMIRA na MIKAKATI sahihi ya kulikomboa taifa hili? Au ni ufundi na ujanja ujanja wa kijasiriamali wa kuandika 'mchanganuo' mzuri wa kibiashara ili kujipatia mtaji (kura) halafu wajitengenezee faida binafsi?

Kiukweli kabisa, CHADEMA ni kama NGO ya kutengenea faida binafsi tu na hakina mpango wowote, wa kuaminika, wa kulikomboa taifa hili na uthibitisho wangu ni huu:

KUKWEPA KODI; wakati CHADEMA wanjua kuwa kodi ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ili kuendeshea shughuli mbalimbali za maendeleo, chama hiki kimekuwa mstari wa mbele kukwepa kodi. Viongozi wake wakuu ambao hulipwa fedha nyingi (ujira/mshahar) na ambao unatakiwa kukatwa kodi, wao kwa makusudi kabisa wamasema eti chama hakilipi wafanyakazi wake mishahara kinalipa POSHO! Wanafanya hivi makusudi ili kuepuka makato ya kodi katika mishahara kwani posho huwa hazikatwi kodi. Sasa kwa maoni yangu, huu nao ni ufisadi kama ufisadi mwingine; posho gani ya 1,000,000/=?!!

Dk SLAA NA URAIS NA MALIPO YA UBUNGE: mwaka 2010, akijua kuwa ilikuwa ngumu kumshinda JK katika uchaguzi wa urais, Slaa aligoma kogombea urais kwa kuogopa kukosa MAMILIONI YA SHILINGI ZA UBUNGE! Hivyo akatoa masharti kwa chama chake CHADEMA kuwa ataingia KUJARIBU URAIS lakini chama kimhakikishie kumlipa kila kitu ambacho mbunge atakuwa anapata kama vile na yeye ni mbunge1 Sasa hivi Dk Slaa analipwa na chama chake mshahara wa mbunge,posho, amepewa gari kama mbunge nk. Sasa, kama chama kinachojipambanua kwamba kinataka kuleta mabadiliko nchini, kwanini MASILAHI HAYA BINAFSI yanapewa kipaumbele kiasi hiki? Je, hili halitoshi kumshitua mtu makini kuwa kuna maigizo yanafanyika hapa? na hakuna dhamira ya dhati ya kumkomboa mwananchi?

SUALA LA POSHO ZA WABUNGE: kati ya mambo yaliyomuweka katika wakati mgumu katika chama chake Mh ZITTO ilikuwa suala hili la kupinga sitting allowance za wabunge. ZITTO alisimama kidete na kupinga kabisa posho hizi, hadi leo ni yeye peke yake ZITTO ambaye hachukui posho hizi. Kwa mara ya kwanza niliwaona wabunge wa CHADEMA wakiungana na CCM; walikuwa wakitetea posho hizi wakati wakijua kuwa kama posho hizi zingefutwa na fedha hizi zinaongezwa kwenye maendeleo angalau kitu kingfanyika katika kwakomboa wananchi dhidi ya umasikini.

Haya, pamoja na mambo mengine mengi tu, yatoshe kutushitua watanzania kuwa tunaimbishwa wimbo ambao hatujui kiitikio chake! Watanzania hasa vijana wenzangu, tuache ushabiki huu wa kisiasa bila kujua kuwa baadhi ya wanasiasa wana ajenda zao za siri ili hututumia sisi kama ngazi tu kufikia malengo yao ya kisiasa.


......................................Mungu ibariki Tanzania na watu wake..............................
Sie tulishastuka mapema ndo maana mi mara zote wapinzani hukosa kura yangu ya urais saiz yao ni ubunge na udiwan
tu-sometime hawasomeki hawa wagen ktk siasa
 
Ubebugi meeen! Propaganda za kipuuzi kama hizi hazina nafasi kwa kizazi cha leo kinachojitambua. Subirini za uso leo Arusha.
 
HAMY-D; Richmond, EPA,Kagoda,Meremeta,Deep Green,ANBEN e.t.c Huo ndiyo ujasiri wa kuiba mali uliofanywa na utakaofanywa sana na viongozi wa CCM!
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani na viongozi wake wanajitahidi kusana kuzunguka nchi nzima kufanya harakati mbalimbali za kisiasa kama chama cha upinzani kwa maana ya kujaribu kukosoa na kukejeli hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kupitia chama tawala cha mapinduzi (CCM). Harakati hizi zimeendana na maandamano makubwa ambayo mara kadhaa yamegharimu maisha ya wananchi (vifo).

CHADEMA hufanya harakati hizi zote wakijaribu kuwaaminisha watanzania kuwa wao (CHADEMA) ndio mwarobaini wa matatizo ya watanzania: ujinga, maradhi, umasikini nk. Harakati hizi huzifanya kwa ufundi mzuri saana tu kiasi kwamba kama usipokuwa makini unaweza kuwaamini kwamba kweli ni wakombozi wa taifa hili. Lakini je, kweli CHADEMA kina DHAMIRA na MIKAKATI sahihi ya kulikomboa taifa hili? Au ni ufundi na ujanja ujanja wa kijasiriamali wa kuandika 'mchanganuo' mzuri wa kibiashara ili kujipatia mtaji (kura) halafu wajitengenezee faida binafsi?

Kiukweli kabisa, CHADEMA ni kama NGO ya kutengenea faida binafsi tu na hakina mpango wowote, wa kuaminika, wa kulikomboa taifa hili na uthibitisho wangu ni huu:

KUKWEPA KODI; wakati CHADEMA wanjua kuwa kodi ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ili kuendeshea shughuli mbalimbali za maendeleo, chama hiki kimekuwa mstari wa mbele kukwepa kodi. Viongozi wake wakuu ambao hulipwa fedha nyingi (ujira/mshahar) na ambao unatakiwa kukatwa kodi, wao kwa makusudi kabisa wamasema eti chama hakilipi wafanyakazi wake mishahara kinalipa POSHO! Wanafanya hivi makusudi ili kuepuka makato ya kodi katika mishahara kwani posho huwa hazikatwi kodi. Sasa kwa maoni yangu, huu nao ni ufisadi kama ufisadi mwingine; posho gani ya 1,000,000/=?!!

Dk SLAA NA URAIS NA MALIPO YA UBUNGE: mwaka 2010, akijua kuwa ilikuwa ngumu kumshinda JK katika uchaguzi wa urais, Slaa aligoma kogombea urais kwa kuogopa kukosa MAMILIONI YA SHILINGI ZA UBUNGE! Hivyo akatoa masharti kwa chama chake CHADEMA kuwa ataingia KUJARIBU URAIS lakini chama kimhakikishie kumlipa kila kitu ambacho mbunge atakuwa anapata kama vile na yeye ni mbunge1 Sasa hivi Dk Slaa analipwa na chama chake mshahara wa mbunge,posho, amepewa gari kama mbunge nk. Sasa, kama chama kinachojipambanua kwamba kinataka kuleta mabadiliko nchini, kwanini MASILAHI HAYA BINAFSI yanapewa kipaumbele kiasi hiki? Je, hili halitoshi kumshitua mtu makini kuwa kuna maigizo yanafanyika hapa? na hakuna dhamira ya dhati ya kumkomboa mwananchi?

SUALA LA POSHO ZA WABUNGE: kati ya mambo yaliyomuweka katika wakati mgumu katika chama chake Mh ZITTO ilikuwa suala hili la kupinga sitting allowance za wabunge. ZITTO alisimama kidete na kupinga kabisa posho hizi, hadi leo ni yeye peke yake ZITTO ambaye hachukui posho hizi. Kwa mara ya kwanza niliwaona wabunge wa CHADEMA wakiungana na CCM; walikuwa wakitetea posho hizi wakati wakijua kuwa kama posho hizi zingefutwa na fedha hizi zinaongezwa kwenye maendeleo angalau kitu kingfanyika katika kwakomboa wananchi dhidi ya umasikini.

Haya, pamoja na mambo mengine mengi tu, yatoshe kutushitua watanzania kuwa tunaimbishwa wimbo ambao hatujui kiitikio chake! Watanzania hasa vijana wenzangu, tuache ushabiki huu wa kisiasa bila kujua kuwa baadhi ya wanasiasa wana ajenda zao za siri ili hututumia sisi kama ngazi tu kufikia malengo yao ya kisiasa.


......................................Mungu ibariki Tanzania na watu wake..............................

ww ni zuzu kweli kwahiyo posho za chadema ndio una ona ni ishu kubwa sana madini yana vunwa matani kwa matani huoni wala hutaki kujua ila posho au pesa anayo pewa dr slaa ndio ina kuuma acha umbea fwatilia kinacho kuhusu kisicho kuhusu kiache
 
The same shit over and over again....ccm mmechoka sana kiakili
 
Tafakuri yako inanipa mashaka saaana,,, vigezo ulivyovitumia pia vinawalakini,,,,,, chadema ni makamanda wa ukweli,mziki wake mwenyewe unaukubali,,madini wanayotema si ya level yako may thats y unajadilikiujasilia mali,,,,,, ukikosa hoja usilete vioja,,,, viva chadema;
 
Zamani ningekuona mjinga kutumia muda wooote huu kuandika upuuzi, lakini baada ya kuambiwa nowadays mnapata 7000 kwa hizi makala zenu, sina haja ya kukukosoa kwa nia yako, lakini nitakosoa makala yako.

Taifa hili linashindwa kusonga mbele kwa kuwa kuna empty heads zimeshika hatamu. Kwa mfano:-

WB inatoa msaada wa kugharamia progamu ya maji vijijini ili kupunguza makali ya matatizo ya maji huko. Pesa zinakuja (1bn) na serikali inaanza matumizi kama ifuatavyo:-

1. Posho za semina za madiwani 210m (Hawa kazi yao ni kupiga makofi na kuweka mapendekezo meeengi yasiyo na maana)

2. Magari ya mradi 280m x 2 = 560m (Haya utayaona Dar yakibeba watoto wa shule wa mabosi japo ubavuni yameandikwa PROGRAMU YA MAJI - RUKWA na nembo ya Blue. Toyota Land Cruiser / Prado badala ya Land Rover ambayo ndio fit huko vijijini)

3. Utafiti 113m hapa utaona watu 8 wanapitapita vijijini na makaratasi wakiuliza wanakijiji maswali wasioyaelewa na baadaye watapimapima na tape ardhini. Hufanya kazi asubuhi hadi saa 7 na baadaye humalizia siku kwenye bia na nyama.

4. Visima 4 @ 25m each = 100m. Visima hivi si ajabu vikachinmbwa sehemu ambapo hata maji hamna kwa kuwa utafiti ulifanywa baa.

5. Zilizobaki 17m hazijulikani zilipo.

Ndugu yangu mfia tumbo, Mjasiriamali Shabbiby MP aliposhauri sh 50 iongezwe kwenye kila lita ya mafuta inayouzwa Tanzania kuchangia mfuko wa maji, mimi niliona huo ni upuuzi wa Karne. Tatizo letu hapa sio fedha, tatizo ni KUPE. Unatumia milioni 560 kununua magari ya mradi halafu allocation ya fedha kwenye mradi wenyewe haifiki hata nusu ya fedha mlionunulia magari hiyo ni akili? Unafikiri kweli CDM haiwezi kutatua hili? Au ukiwa mjinga unadhani kila mtu ni mjinga mwenzako?

Haya magari ya kifahari ambayo mnatumia kupelekea shemeji zenu saluni kwa mafuta ya serikali, nayo yanahitaji ukongwe kuyabaini kuwa ni ubadhirifu wa mali ya umma?

Kwenda zako, usije ukanitafutia BAN mpuuzi wewe.
 
Katika mlolongo wa hoja ulizozitoa nimevutiwa sana na ujasiri wa mh. Zitto wa kuendelea kusimamia msimamo wake ingawa ulianzishwa na mwenyekiti mh. Mbowe! Bado naamini katk uongozi wa vijana wa mfano wa zitto.

Tukirejea kwenye mada kuu. Siwezi kukubaliana na wewe kwa asilimia zote, Ingawa ni kweli ukiangalia ukuaji wa cdm kisiasa ni wakuridhisha kiasi! Ila matendo na matukio yanayofanywa na viongozi wao ni hatari kidogo..
Nitakacho jivunia kwa cdm ni kuweza kuamsha ufahamu kwa vijana wengi kufuatilia siasa na kujua ni nini serikali inapaswa kufanya juu yao lakini katka hili cdm wameshindwa kueleza vijana nini hasa ni wajibu wao!

Ninamuunga mkono mkuu Hammy D kwamba, ccm wamejidhatiti kutawala kwa muda mrefu kidogo, hivyo ninavyoamini kwamba cdm wawaandae vijana wao kisiasa za KIUONGOZI zaidi kuliko kiPROPAGANDA(type ya Ben Saanane). Kama wakitaka kuwa na nia haswa kuchukua nchi kiutawala

#tanzania ni yetu sote
 
Mkuu,

Kwa bahati mbaya sana vijana wetu wamesha tekwa akili na hao wajasiriamali wa CHADEMA.

Vijana wamejengewa chuki kwa serikali yao wakati hawa wajasiriamali wa CHADEMA ni marafiki wakubwa wa serikali.

Ila jambo la msingi ni kwamba, CCM imejipanga kutawala karne huku CHADEMA ikijipanga kutoa matamko na kuunda jeshi.

Hivi nitegemee mtu kama wewe uwe na akili zaidi ya hizi?

316.jpg
 
Mkuu umeongelea mradi wa maji unenikumbusha mradi fulani ulifadhiliwa na UNDP huko Mbinga,kabla hata mradi haujakabidhiwa koki nyingi hazifanyi kazi na ukiambiwa hela iliyotumika katika huo mradi utasema "ee Mungu niepushe na hili balaa ccm" lakini cha ajabu wenzetu hawaoni na wanaamini CDM kinalaghai wananchi,sasa kama CDM kinalaghai wanachi sijui CCM wanafanya nini? ila kama mnavyosema siku hizi kuna buku saba basi tuache tu waje hapa wajivue nguo.
 
Back
Top Bottom