Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!
Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?
Je hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje??
na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??
Yes I'm ndyo maana najua pia wife material....
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za maisha!
Leo nimejaribu kuja hapa kuuliza na kupata ushauri kwa hawa wife material + future women wapo wapi? na wanapatikana vipi?
Je hapa JF wapo? na kama wapo tunawajuaje??
na kwa sisi wenye uhitaji wa Warembo wa aina hii tunaweza meet nao wapi na vip??
Asante kw ushauriiiWaswahili wanasema "Ndege wanaofanana huruka pamoja." Ili uweze kupata wife material lazima na wewe uwe na sofa zinazofana na sofa za wife material a.k.a husband material. Usipokuwa husband material basi kamwe hutawaona hao wanawake ambao ni wife material na hata ukiwaona hutawatambua kwa sababu macho na fikra zako zimezoea kuona/kukaa/kutembea na wanawake ambao hawana sifa za wife material.
Ukimpata mmoja wao naomba namba pmMkuu wapo sana ila hawana tako wana matumbo makubwa na hawaend n fashion.kila la heri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wote?Mkuu wapo sana ila hawana tako wana matumbo makubwa na hawaend n fashion.kila la heri mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]