MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 590
Daraleo:
Vijana wawili wakiwa mikononi mwa polisi mara baada ya kukamatwa katika eneo la makutano ya barabara za Samora na Mkwepu wakipelekwa kituo cha polisi Makao Makuu,Dar es Salaam, jana asubuhi.Haikufahamika chanzo cha wahusika kukamatwa.(Picha na Heri Shaaban)