Hawa vijana wamekatwa wakifanya nini?Gay?

MrFroasty

JF-Expert Member
Jun 23, 2009
1,195
590
dar.jpg


Daraleo:
Vijana wawili wakiwa mikononi mwa polisi mara baada ya kukamatwa katika eneo la makutano ya barabara za Samora na Mkwepu wakipelekwa kituo cha polisi Makao Makuu,Dar es Salaam, jana asubuhi.Haikufahamika chanzo cha wahusika kukamatwa.(Picha na Heri Shaaban)
 
dar.jpg


Daraleo:
Vijana wawili wakiwa mikononi mwa polisi mara baada ya kukamatwa katika eneo la makutano ya barabara za Samora na Mkwepu wakipelekwa kituo cha polisi Makao Makuu,Dar es Salaam, jana asubuhi.Haikufahamika chanzo cha wahusika kukamatwa.(Picha na Heri Shaaban)

Nafikiri umesha sema kwenye post yako kuwa haikufahamika chanzo cha kukamatwa kwao. Hivyo basi, kuwaita au kuuliza kuwa ni gay, nafikri si sahihi. That is my opinion. Anyway, thanks for the picture.
 
Mimi nadhani walimpora huyo mama walieongozana nae; aliwagundua walipokuwa na akaita polisi!!
 
Back
Top Bottom