Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,880
- 4,883
Huu mradi umekua kero mpaka inatia hasira kuuzungumzia. Yani magari bado hayatoshi na hata hayo machache yaliyopp mengi ni mabovu. Yani unafika pale gerezani foleni kila mahali na kuna magari zaidi ya 20 yamepaki. Sasa unajiuliza nani huyo anayekula hii nchi asiyeguswa? Nani huyo ambaye anawatesa wananchi na hakuna hata anayewaonea huruma hawa wananchi?
Mbaya zaidi wamezuia route za daladala za kutoka mbezi-ubungo-magomeni to kariakoo/posta. Sasa u ajiuliza wao wamezuia daladala alaf wameleta magari yao ya mwendokasi ambayo hayakidhi mahitaji.
Yani nchi hii ni upigaji upigaji upigaji. Hao UDART wanapigiwa kelele kila siku lakini hakuna anayesikiliza. Hii hii serikali ina viongozi kweli?
Mbaya zaidi wamezuia route za daladala za kutoka mbezi-ubungo-magomeni to kariakoo/posta. Sasa u ajiuliza wao wamezuia daladala alaf wameleta magari yao ya mwendokasi ambayo hayakidhi mahitaji.
Yani nchi hii ni upigaji upigaji upigaji. Hao UDART wanapigiwa kelele kila siku lakini hakuna anayesikiliza. Hii hii serikali ina viongozi kweli?