Dumishamila
Member
- Nov 5, 2018
- 40
- 30
Nianze kwa kuwasalimu.
Kuna tembo ambao wanaozunguka katika kijiji vya Wami Luhindo kitongoji Majichumvi na vingine wilaya ya Mvomero. Wanaharibu mazao ya watu na wanaweza kuumiza wananchi. Afisa maliasili mpo tu mnaridhika watu wafe au namna gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tembo ambao wanaozunguka katika kijiji vya Wami Luhindo kitongoji Majichumvi na vingine wilaya ya Mvomero. Wanaharibu mazao ya watu na wanaweza kuumiza wananchi. Afisa maliasili mpo tu mnaridhika watu wafe au namna gani?
Sent using Jamii Forums mobile app