Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,485
- 86,001
Yes yes akafanya kazi kwenye mashamba ya Mkonge Korogwe na baadae akafanya kazi kwene kiwanda kimojawapo cha Sabuni Tanga mjini kisha akaondok akenda sijui wapi huko ndio karudi hivyo saa hizi, ni Dokta, Mtume
Mpwa hivi yule alipataje utume? Nafikiri alimaliza popatlal miaka ya mwisho ya sabini!