Hawa startime wametuhadaa jamani

Yes yes akafanya kazi kwenye mashamba ya Mkonge Korogwe na baadae akafanya kazi kwene kiwanda kimojawapo cha Sabuni Tanga mjini kisha akaondok akenda sijui wapi huko ndio karudi hivyo saa hizi, ni Dokta, Mtume
Mpwa hivi yule alipataje utume? Nafikiri alimaliza popatlal miaka ya mwisho ya sabini!
 
ndugu wana JF hawa startimes kwa maelezo yao ni kuwa wao walipewa taarifa na UBC kuwa wataonyesha euro, kwa kuwa ubc inapatikana katika chanel zao ndio maana waliamua kuwajulisha wateja wao kwa kupitia ujumbe usemao 'furahia kombe la EURO kupitia chanel ya UBC', kwa bahati mbaya hadi muda ile game ya kwanza inaanza ambayo ilionyeshwa startimes kama walivyoambiwa na UBC walijua game zote zingeruka hewani lakin walishangaa kuona game ya pili haijaonyeshwa.

mawasiliano yalifanyika haraka na watu wa UBC ambao jibu lao lilikuwa hawana authority ya kuonyesha mechi zote. kwa hiyo startimes ikabidi wanywee kwa promisi kuwa UBC wanaonyesha mechi nane tu!!! 4 za makundi, 2 za robo fainali, 1 nusu fainali na 1 fainali. na kwamaelezo waliyoambiwa lazima UBC iwe free to Air, na ndo maana Jumapili jioni startimes waliiweka UBC kuwa free, lakini chaajabu UBC mechi ilipoanza UBC wakakata matangazo kwa kisingizio kunamatatizo ya kiufundi (hapa nadiriki kusema DSTV kafanya kazi yake)

Sasa startimes ili isiwaangushe wateja wake ikawabidi waende ATN wakaongea na hawa jamaa na wakafanikiwa 'kuirent' ATN mpaka mashindano yatakapoisha ili tu wateja wafurahie mpira kama walivyoaidiwa na ndiyo maana ukiwasha king'amuzi chako utakuta katika UBC wameireplace ATN

Sasa kitu cha kukumbuka UBC na ATN wanaauthority ya kuonyesha almost 20% ya mechi zote, which means about 8 matches only kwa hiyo wateja wa startimes wataangalia match kupitia hiyo ATN na ni mechi nane tu ikiwemo ya leo ya England na hispania.
[/QUOT

DODOMA MJINI IMEKATA TOKA JUZI MCHANA MPAKA SASA HIVI BADO
 
Ubepari uliopitiliza! Asiwaambie mtu, DSTV ndio mambo yote! Ingawa ni wachache wenye uwezo wa kujiunga kule! Hawa sijui ndio startimes na wengineo ni ubabaishaji tu!
 
toka atn imekuwa kwny startym mi sijana mechi hata moja,km kuna aliyeona anielekeze ni muda gani?maana kila ikifika saa moja kml naweka hola saa 3.45 hola.duh bora ninunue dstv tu kuliko kunyanyasika.
 
Ubepari uliopitiliza! Asiwaambie mtu, DSTV ndio mambo yote! Ingawa ni wachache wenye uwezo wa kujiunga kule! Hawa sijui ndio startimes na wengineo ni ubabaishaji tu!

kabisa mzazi.....
 
toka atn imekuwa kwny startym mi sijana mechi hata moja,km kuna aliyeona anielekeze ni muda gani?maana kila ikifika saa moja kml naweka hola saa 3.45 hola.duh bora ninunue dstv tu kuliko kunyanyasika.

Kwa kweli hiyo ATN ipo startimes ila mi sijaona mechi
Yeyote
 
Ao jamaa wa startimes ni bom hawana mpango hata kidogo, ni afadhali Zanzibar cable inayotunia waya huku Zenji, lakini area town yote huwezi kulipia game, kiingilio wee mwenyewe tu.halafu wana channel za uhakika
 
Jamani tusiongee habari ya manun'guniko tujadili hatua tutakazoweza kuwachukulia Star times. Swala ni kuwa wanatakiwa kurudisha fedha za watu na fidia.

Mimi niko tayari kuchukua hatua ninafikiri nahitaji mambo mawili.
1. Mwanasheria aliyetayari kutoa msaada wa kisheria
2. Waathirika wengine waliotayari kuingia katika mapambano hayo.

Robert
 
ndugu wana JF hawa startimes kwa maelezo yao ni kuwa wao walipewa taarifa na UBC kuwa wataonyesha euro, kwa kuwa ubc inapatikana katika chanel zao ndio maana waliamua kuwajulisha wateja wao kwa kupitia ujumbe usemao 'furahia kombe la EURO kupitia chanel ya UBC', kwa bahati mbaya hadi muda ile game ya kwanza inaanza ambayo ilionyeshwa startimes kama walivyoambiwa na UBC walijua game zote zingeruka hewani lakin walishangaa kuona game ya pili haijaonyeshwa.

mawasiliano yalifanyika haraka na watu wa UBC ambao jibu lao lilikuwa hawana authority ya kuonyesha mechi zote. kwa hiyo startimes ikabidi wanywee kwa promisi kuwa UBC wanaonyesha mechi nane tu!!! 4 za makundi, 2 za robo fainali, 1 nusu fainali na 1 fainali. na kwamaelezo waliyoambiwa lazima UBC iwe free to Air, na ndo maana Jumapili jioni startimes waliiweka UBC kuwa free, lakini chaajabu UBC mechi ilipoanza UBC wakakata matangazo kwa kisingizio kunamatatizo ya kiufundi (hapa nadiriki kusema DSTV kafanya kazi yake)

Sasa startimes ili isiwaangushe wateja wake ikawabidi waende ATN wakaongea na hawa jamaa na wakafanikiwa 'kuirent' ATN mpaka mashindano yatakapoisha ili tu wateja wafurahie mpira kama walivyoaidiwa na ndiyo maana ukiwasha king'amuzi chako utakuta katika UBC wameireplace ATN

Sasa kitu cha kukumbuka UBC na ATN wanaauthority ya kuonyesha almost 20% ya mechi zote, which means about 8 matches only kwa hiyo wateja wa startimes wataangalia match kupitia hiyo ATN na ni mechi nane tu ikiwemo ya leo ya England na hispania.

Kwani leo ndo unajua kuwa hawa jamaa ni matapeli?????
 
Startimes hawafai kingamuzi km analogia! Hamna channel ya kuonyesha hata highlights! Sijui tunalipia nini pumba tu! Wamezidiwa hata na easyTV, nawahama.
 
kwa mara ya kwanza toka nianze kuiona atn kwenye startime jana ndo nimeona mechi ya ureno na uholanzi, sijui leo wataingia mitini tena?
 
Kwani leo ndo unajua kuwa hawa jamaa ni matapeli?????


uwe unasoma maelezo kabla ya kukoment, Usikurupuke kutoa koment bila kusoma, Katika maelezo yangu sijazungumza mahala popote kuwa startimes ni matapeli ila nilikuwa najitahidi kuelezea kwanini hawaonyeshi mechi hizo.
 
Back
Top Bottom