Hawa Sio Comedians ila wakiongea mbele ya watu lazima tucheke sana

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,390
23,008
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.

1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja
14. Masau Bwire
 
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.

1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. Ommy Dimpoz
4. Mheshimiwa Kishimba
5. Babalevo
6. Mheshimiwa Kibajaji
7. Mwijaku
8. Komredi Godbless Lema
9. Mheshimiwa Bwege
 
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.

1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. Ommy Dimpoz
4. Mheshimiwa Kishimba
5. Babalevo
6. Mheshimiwa Kibajaji
7. Mwijaku
8. Komredi Godbless Lema
9. Mheshimiwa Bwege
Ongezea.
10. Mzee Makamba
11. RC Chalamila
12. Agrrey Mwanri
 
Prof. Janabi

Huyu mwamba mbobevu anakupiga nondo za kisayansi ukiwa unacheka huku somo linaingia effectively.

Utake usitake utacheka huku dawa ikikuingia, na huchoki kumsikiliza.
 
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.

1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja
Makongoro
 
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.

1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja
Umemsahau msukuma.
 
Kuna
1.Jose mara
2.Mussa hussen
3.Edga kibwana
4.Masau bwire
Ila Mwijaku naona kama anaforce vile watu wacheke na wasipo cheka ananuna😒
 
Back
Top Bottom