Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,305
- 51,964
Habari wakuu.
Kuna hii sms imekuja asubuhi whatsapp kama mnavyoona kwenye screenshot 👇
Nimejaribu kufungua link ikakataa...
Yani wanatoa ajira za muda mfupi na za kudumu kwa mshahara wa Tsh 50,000 hadi 500,000.
Niliposhangaa wanalipa kwa siku
Kuna hii sms imekuja asubuhi whatsapp kama mnavyoona kwenye screenshot 👇
Nimejaribu kufungua link ikakataa...
Yani wanatoa ajira za muda mfupi na za kudumu kwa mshahara wa Tsh 50,000 hadi 500,000.
Niliposhangaa wanalipa kwa siku