amita bacha
Senior Member
- Mar 10, 2017
- 180
- 411
kashasha ni noma yule mtukama mwl Kashasha Hayupo,Ally Mayai Tembele hayupo naruka kesi
Klauz kuna wachambuz au wasimuliaji wa matukio ya mpira yaliyotokea uwanjani? shaabaaashhhh!3.dr likii
4.wale wa klauzi
5.edokumwembe
6. Wa tbcfm
7.wa redio frii
Klauz kuna wachambuz au wasimuliaji wa matukio ya mpira yaliyotokea uwanjani? shaabaaashhhh!
Watu hamuelewagi. Kasema kwa sasa we unasema Dr Leaky.Hajawahi kupatikana kama Dr. Leaky
Big up mkuuwote nyanya hao kiboko ni Mwalimu kashasha