Hawa ni wachambuzi bora wa mpira kwa sasa Tanzania. Pongezi zao

amita bacha

Senior Member
Mar 10, 2017
180
411
f2d95984bedb835f900e15da018e6977.jpg


2586a5f66c4f9a161e5f207744aabdbf.jpg
 
Mwalimu Alex Kashasha, Haji Mwinyi alitaka kufanya nini pale?

Kashasha: Haji Mwinyi alikuwa na nia nzuri, lakini uwezo wake na alichotaka kukifanya haviendani, H Mwinyi lazima akubali uwezo wake bado mdogo na aache kulazimisha mambo. Kwako Jesse
 
Back
Top Bottom