Hawa ndugu zangu hawabebeki kabisa

Hawa ndugu zangu hawabebeki kabisa

bone 2 shine

Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
87
Reaction score
31
Wakuu poleni na majukum ya kitaifa..Niende moja kwa moja kwenye mada yangu familia y2 tumezaliwa watoto wengi Kidogo lkn hatuchangia wote baba na mama mmoja kutokana na hali hyo wengine tukajikuta tumekuria kwa ndugu.

Nije kwenye mada sasa hawa ndugu zangu tumekuja Juana ukubwani kipindi cha msiba wa mama yetu.Ukweli najuta kuwafaham hawa ndugu zangu kutokana na Tabia zao yn ni waswahili sana kby zaidi shule hawakubahatika kwenda kbx na wala hawana kabisa mwamko wa elimu yn tabu tupu.

Mm nashukr mungu nilibahatika kukuria upande wa baba yangu nashukr nilibahatika kupata elimu na kukua kimaadiri sasa baada ya kijuana na hawa ndugu zangu dah najuta kuwafaham vzr.

Katika familia y2 hii kaka yetu kiukwel yy anauwezo mkubwa kifedha sana kwa hyo kwa upande wa dada na kaka zangu wengine yy ndyo kama baba na mama yao yn yy ndyo shokamzoba wa maisha yao kbx japo na wao wana familia na wajukuu lkn hawaishi mtegemea kaka yangu

Chaajabu yn wao wanazaa kama mashindano kila mwaka watoto kby zaidi watoto hawaendi shule kbx

Kinachoniumiza zaidi ndugu zangu hawa kaka yangu pamoja na mm tumejaribu wasaidia lkn HAWABEBEKI kabisa dada zangu nilishawapa laki tano tano Wafanye vibiashara lkn baada ya siku mbili atakutumia sms kaka nimeishiwa chakula

Kaka yangu pia kila mara wanaomba mitaji anawapa lkn siku mbili wanahitaji tena msaada sasa maisha ya sa hv utamsaidia mtu mpk ln

Kibaya zaidi ni waswahili mno yn ukiwatumia elfu hamsini leo ksho kutwa wanasema kaka tunaomba hela ya unga mashamba yapo kulima hawawezi....

Ushauri wenu.....
 
Wakuu poleni na majukum ya kitaifa..Niende moja kwa moja kwenye mada yangu familia y2 tumezaliwa watoto wengi Kidogo lkn hatuchangia wote baba na mama mmoja kutokana na hali hyo wengine tukajikuta tumekuria kwa ndugu.

Nije kwenye mada sasa hawa ndugu zangu tumekuja Juana ukubwani kipindi cha msiba wa mama yetu.Ukweli najuta kuwafaham hawa ndugu zangu kutokana na Tabia zao yn ni waswahili sana kby zaidi shule hawakubahatika kwenda kbx na wala hawana kabisa mwamko wa elimu yn tabu tupu.

Mm nashukr mungu nilibahatika kukuria upande wa baba yangu nashukr nilibahatika kupata elimu na kukua kimaadiri sasa baada ya kijuana na hawa ndugu zangu dah najuta kuwafaham vzr.

Katika familia y2 hii kaka yetu kiukwel yy anauwezo mkubwa kifedha sana kwa hyo kwa upande wa dada na kaka zangu wengine yy ndyo kama baba na mama yao yn yy ndyo shokamzoba wa maisha yao kbx japo na wao wana familia na wajukuu lkn hawaishi mtegemea kaka yangu

Chaajabu yn wao wanazaa kama mashindano kila mwaka watoto kby zaidi watoto hawaendi shule kbx

Kinachoniumiza zaidi ndugu zangu hawa kaka yangu pamoja na mm tumejaribu wasaidia lkn HAWABEBEKI kabisa dada zangu nilishawapa laki tano tano Wafanye vibiashara lkn baada ya siku mbili atakutumia sms kaka nimeishiwa chakula

Kaka yangu pia kila mara wanaomba mitaji anawapa lkn siku mbili wanahitaji tena msaada sasa maisha ya sa hv utamsaidia mtu mpk ln

Kibaya zaidi ni waswahili mno yn ukiwatumia elfu hamsini leo ksho kutwa wanasema kaka tunaomba hela ya unga mashamba yapo kulima hawawezi....

Ushauri wenu.....
 
Chukua likizo kawaoneshe cha kufanya, mwezi mmoja unatosha kubadili fikra zao.
 
Ni maswala ya familia kwann msiite kikao cha familia na waambieni ukweli kisha mtoe mkawara wa kusitisha msaada kidogo akili zitawajia sasa ivi Wanajua wakikosa mtawapa tu
 
Kbx ,y2, mpk, kby na mengineyo sijaelewa yanamaanisha ..nisaidie ilo then nitoe ushauri!.....
 
Ulivyoandika tuu "y2" nimeishia hapo hapo.
Jifunze kuandika na acha swaga za kijinga "xx" za nini?
Halafu ujue nini ? Familia yako sio maarufu, so peleka uzi panapostahili.
We ni maarufu wkt una fake ID
 
Wakuu poleni na majukum ya kitaifa..Niende moja kwa moja kwenye mada yangu familia y2 tumezaliwa watoto wengi Kidogo lkn hatuchangia wote baba na mama mmoja kutokana na hali hyo wengine tukajikuta tumekuria kwa ndugu.

Nije kwenye mada sasa hawa ndugu zangu tumekuja Juana ukubwani kipindi cha msiba wa mama yetu.Ukweli najuta kuwafaham hawa ndugu zangu kutokana na Tabia zao yn ni waswahili sana kby zaidi shule hawakubahatika kwenda kbx na wala hawana kabisa mwamko wa elimu yn tabu tupu.

Mm nashukr mungu nilibahatika kukuria upande wa baba yangu nashukr nilibahatika kupata elimu na kukua kimaadiri sasa baada ya kijuana na hawa ndugu zangu dah najuta kuwafaham vzr.

Katika familia y2 hii kaka yetu kiukwel yy anauwezo mkubwa kifedha sana kwa hyo kwa upande wa dada na kaka zangu wengine yy ndyo kama baba na mama yao yn yy ndyo shokamzoba wa maisha yao kbx japo na wao wana familia na wajukuu lkn hawaishi mtegemea kaka yangu

Chaajabu yn wao wanazaa kama mashindano kila mwaka watoto kby zaidi watoto hawaendi shule kbx

Kinachoniumiza zaidi ndugu zangu hawa kaka yangu pamoja na mm tumejaribu wasaidia lkn HAWABEBEKI kabisa dada zangu nilishawapa laki tano tano Wafanye vibiashara lkn baada ya siku mbili atakutumia sms kaka nimeishiwa chakula

Kaka yangu pia kila mara wanaomba mitaji anawapa lkn siku mbili wanahitaji tena msaada sasa maisha ya sa hv utamsaidia mtu mpk ln

Kibaya zaidi ni waswahili mno yn ukiwatumia elfu hamsini leo ksho kutwa wanasema kaka tunaomba hela ya unga mashamba yapo kulima hawawezi....

Ushauri wenu.....
Jitahidi kuandika vizuri ili upewe msaada.
 
Mtoa post, kama wewe unayejinasibu kuwa ulibahatika kusoma unaandika maadiri, kukuria, etc... ulitarajia hao unaosema hawajasoma wawe vipi? Ondoa kwanza uswahili kwenye uandishi wako
 
Dah, kama wewe msomi unaandika hivi sipati picha ndugu zako wanaandikaje, ELIMU, ELIMU, ELIMU.
 
Pole Sana Kwa Majukumu Mazito Nadhani Family Masikini Tunajua Unachoongea Vema
 
Achana nao kabisa tena kaa nao mbali na usiwape ushauri wowote wa maendeleo walahi
Maana iko hatari watakuvuta na wewe chini walahi
Umaskini ni ugonjwa wa kuambukiza walahi
Kaa nao mbali ndugu yangu nakwambia walahi
 
Wakuu poleni na majukum ya kitaifa..Niende moja kwa moja kwenye mada yangu familia y2 tumezaliwa watoto wengi Kidogo lkn hatuchangia wote baba na mama mmoja kutokana na hali hyo wengine tukajikuta tumekuria kwa ndugu.

Nije kwenye mada sasa hawa ndugu zangu tumekuja Juana ukubwani kipindi cha msiba wa mama yetu.Ukweli najuta kuwafaham hawa ndugu zangu kutokana na Tabia zao yn ni waswahili sana kby zaidi shule hawakubahatika kwenda kbx na wala hawana kabisa mwamko wa elimu yn tabu tupu.

Mm nashukr mungu nilibahatika kukuria upande wa baba yangu nashukr nilibahatika kupata elimu na kukua kimaadiri sasa baada ya kijuana na hawa ndugu zangu dah najuta kuwafaham vzr.

Katika familia y2 hii kaka yetu kiukwel yy anauwezo mkubwa kifedha sana kwa hyo kwa upande wa dada na kaka zangu wengine yy ndyo kama baba na mama yao yn yy ndyo shokamzoba wa maisha yao kbx japo na wao wana familia na wajukuu lkn hawaishi mtegemea kaka yangu

Chaajabu yn wao wanazaa kama mashindano kila mwaka watoto kby zaidi watoto hawaendi shule kbx

Kinachoniumiza zaidi ndugu zangu hawa kaka yangu pamoja na mm tumejaribu wasaidia lkn HAWABEBEKI kabisa dada zangu nilishawapa laki tano tano Wafanye vibiashara lkn baada ya siku mbili atakutumia sms kaka nimeishiwa chakula

Kaka yangu pia kila mara wanaomba mitaji anawapa lkn siku mbili wanahitaji tena msaada sasa maisha ya sa hv utamsaidia mtu mpk ln

Kibaya zaidi ni waswahili mno yn ukiwatumia elfu hamsini leo ksho kutwa wanasema kaka tunaomba hela ya unga mashamba yapo kulima hawawezi....

Ushauri wenu.....
Kwa uandishi wako na mawazo uliyoandika humu ni dhahiri huna elimu yoyote ya maana wala kaka yako hana uwezo wowote wa kifedha kama unavyodai bali nyie wote mna uswahili-uswahili fulani na mnaishi uswahilini.Sema bahati uliyonayo wewe kutotambulika katika jamii ni kutumia ID fake nyuma ya keyboard!!Kawadanganye wa huko huko wa Tandale kwa Mtogole!!!
 
Mwandiko wako unaleta ukakasi kwakweli!
 
Mkuu yaan wewe ndo umesoma soma ila mwandiko ni shida je hao ambao hawajasoma kabisa sijui wana hali gani.

Ila nyie mnaowaendekeza ndo wenye tatizo,mtu hajasoma,anazaa kwa mashindano unampa laki tano mtaji bila kumuuliza au kuwa na uhakika wa biashara anayoenda kuifanya duh
 
Back
Top Bottom