Hawa ndugu zangu hawabebeki kabisa

Hawa ndugu zangu hawabebeki kabisa

Mkuu hii hali kuna wakati mwingine na mm iinikuta...kwa kifupi tu mm baada ya kuona hivyo niliamua kukata mawasiliano ila niliwaelekeza kabisa kuwa kuendea kuzaa tu na kutofanya kazi za kutafita kipato kutegema mm siwez nina mambo yangu mengi na nina familia pia kwa hiyo KUANZIA SASA HIV NITAKUWA NASAIDIA PALE NINAPO KUWA VIZURI UJINIPIGIA SIM UKANIAMBIA SHIDA NISIPO KUTUMIA HAKUNA KULAUMU.TENA KWA UKALI KABISA NA UKAZE MOYO HAKUNA KU CHEKA NA MTU.MBONA WALIELEWA .saa hiv safi situmii mtu pesa ya kununua unga wala mboga ukiwaendekeza ndugu mkuu utaumia sana.watasema mwisho watanyamaza coz si kwamba huwa sitoi.sas hiv wananipigia sim jambo zito nalipima naona hili linaitaji msaada natekeleza.mtu azae tu huko eti mjomba nipo sifany ujinga huo.
 
Wakuu poleni na majukum ya kitaifa..Niende moja kwa moja kwenye mada yangu familia y2 tumezaliwa watoto wengi Kidogo lkn hatuchangia wote baba na mama mmoja kutokana na hali hyo wengine tukajikuta tumekuria kwa ndugu.

Nije kwenye mada sasa hawa ndugu zangu tumekuja Juana ukubwani kipindi cha msiba wa mama yetu.Ukweli najuta kuwafaham hawa ndugu zangu kutokana na Tabia zao yn ni waswahili sana kby zaidi shule hawakubahatika kwenda kbx na wala hawana kabisa mwamko wa elimu yn tabu tupu.

Mm nashukr mungu nilibahatika kukuria upande wa baba yangu nashukr nilibahatika kupata elimu na kukua kimaadiri sasa baada ya kijuana na hawa ndugu zangu dah najuta kuwafaham vzr.

Katika familia y2 hii kaka yetu kiukwel yy anauwezo mkubwa kifedha sana kwa hyo kwa upande wa dada na kaka zangu wengine yy ndyo kama baba na mama yao yn yy ndyo shokamzoba wa maisha yao kbx japo na wao wana familia na wajukuu lkn hawaishi mtegemea kaka yangu

Chaajabu yn wao wanazaa kama mashindano kila mwaka watoto kby zaidi watoto hawaendi shule kbx

Kinachoniumiza zaidi ndugu zangu hawa kaka yangu pamoja na mm tumejaribu wasaidia lkn HAWABEBEKI kabisa dada zangu nilishawapa laki tano tano Wafanye vibiashara lkn baada ya siku mbili atakutumia sms kaka nimeishiwa chakula

Kaka yangu pia kila mara wanaomba mitaji anawapa lkn siku mbili wanahitaji tena msaada sasa maisha ya sa hv utamsaidia mtu mpk ln

Kibaya zaidi ni waswahili mno yn ukiwatumia elfu hamsini leo ksho kutwa wanasema kaka tunaomba hela ya unga mashamba yapo kulima hawawezi....

Ushauri wenu.....
Mbona hata mwandiko wako unaonesha tabia yako inafanana na hao ndugu zako-ya uswahili uswahili ,ni hivyo tu
 
Jifunze kuandika vizuri

Hao ndugu zenu mnawaendekeza..na wanafanya kusudi sababu wanajua maburudoza mpo

Wapeni mikausho mikali watanuna mwisho wa picha maisha yanaendelea
 
Ao ni kama ndugu zangu kabsa ....duh usiombe yani
 
Mbona anaeleweka mlitaka aandikeje kwa mfano kwan humu ni mahali pa kushauriana miandiko.

My take:izo laki tano tano ungeanzisha nazo wew biashara waisimamie ikiwa pamoja nao.
Ingekuwa ndo ungeachana nao.
 
Mazoea ya kuchat mpaka kwenye Uandishi Wa vitu serious mnakuwa nao, Eti XX, lkn, maadiri nk
 
Kwani we ulisoma si ili uje uwasaidie ambao awajasoma sasa pambana na Khali ya familia yako , kun familia zinamatatizo makubwa kushinda wewe
 
Back
Top Bottom