Hawa ndo wabunge wetu wanaojadili bajeti ya taifa 2025/2026

Hawa ndo wabunge wetu wanaojadili bajeti ya taifa 2025/2026

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
4,465
Reaction score
4,613
Wasalaam

Watanganyika tunapodai katiba mpya tunaebuisha hii aibu isiendelee kulikumba taifa. Angalau mtanganyika anaegombea ubunge awe na degree moja na sio sifa ya kujua kusoma na kuandika.

Hao ndo wabunge wetu wanaojadili bajati ya serikali 2025/2026, unategemea nn?

Ndo maana wengine wanasema no reforms no election.
 

Attachments

  • VID-20250527-WA0138.mp4
    6.7 MB
Back
Top Bottom