Hawa ndiyo watu wa usalama?

Hawa ndiyo watu wa usalama?

Agera 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
4,145
Reaction score
4,308
Hivi huyu ni nani wanajamvi,

Yupo kwenye matukio mengi kuna saa ana appear kama mwanachama wa ysc

Mara yuko na hayati, mara kwenye wamasai kule ubalozi ya kenya, pia watu wanasema masai hawezi andika hivyo huyu ni serikali hata Ngorongoro hapajui

Na kwanini anajiachia hadi tunamjua au yeye anahisi picha zake hazipo

Screenshot_20220629-123742.png
Screenshot_20220629-124001.png
 
Hahaha naona ndugu yangu una unlock code ya black eagle..sasa sjui tumapngie kazi gani maana mmeshamdisclose undercover eagle.

Rule number moja kuhusu ujasusi# ogopa sana wauza magazeti ama wabrush viatu, wauza kawaha.. tena especially wale wanaweka goli karibu na maofisi makubwa na hwatolewi ata ikija operation ya namna gani.
 
Hivi huyu ni nani wanajamvi
Yupo kwenye matukio mengi kuna saa ana appear kama mwanachama wa ysc

Mara yuko na hayati, mara kwenye wamasai kule ubalozi ya kenya , pia watu wanasema masai hawezi andika hivo..huyu ni serikali hata ngorongoro hapajui

Na kwanini anajiachia hadi tunamjua au yeye anahisi picha zake hazipo

View attachment 2276294View attachment 2276298
Una hoja nzuri ila uwakilishaji umekuwa mbaya
 
Hivi huyu ni nani wanajamvi
Yupo kwenye matukio mengi kuna saa ana appear kama mwanachama wa ysc...
 
hahaha naona ndugu yangu una unlock code ya black eagle..sasa sjui tumapngie kazi gani maana mmeshamdisclose undercover eagle...
Kuna mmoja jinga kabisa alikuwa anakuja cheza draft sehemu hadi usiku ..wakamshutukia ..siku moja naongea kuhusu uchaguzi fundi nguo akanambia vunga kuna mtu hapa hatumuelewi asije sepa na wewe ..wale akili zao hamna kitu kabisa ..

yani yule jamaa ako ovyo ovyo katika pita pita mchana akaonekana kwenye LX kala kishoka afu jion anakuja cheza draft na wanaume..tukawa tunamsema kiaina..akiwa pale pale ukiingia kingi ile kingi tunaiita ni usalama😁 sio kingi tena...

Mara unaanza ongea kimafumbo ..like sasa mtu unajua kabisa tunakujua ila bado upo kuchunguza wanaume wanaongea nini mwsho wa siku mtu anawekwa shoka la mk.....u anaanza lalamika wanajeshi wakorofi
 
Ngoja nikasome huko
 
Back
Top Bottom