NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,740
Upuuzi mtupu mechi ya Kagera na Yanga Sc Kuna goli limefungwa la hakuna offside kabisa lakini Refa wa penbeni kainua bendera na kusema offside.
Maoni Yangu : kwa mfumo huu wa marefa mpira wetu kukua ni kujidanganya tu na ndiyo maana mabingwa wanabaki Simba sc na Yanga Sc kwa sababu marefa wanachezesha kwa mapenzi ya timu mbili.
Kwa mfumo huu tusitegemee kuona marefa wetu kuchezesha hata michezo ya kombe la mbuzi lililo andaliwa na CAF.
Maoni Yangu : kwa mfumo huu wa marefa mpira wetu kukua ni kujidanganya tu na ndiyo maana mabingwa wanabaki Simba sc na Yanga Sc kwa sababu marefa wanachezesha kwa mapenzi ya timu mbili.
Kwa mfumo huu tusitegemee kuona marefa wetu kuchezesha hata michezo ya kombe la mbuzi lililo andaliwa na CAF.