JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Wana JF
Hawa ndiyo maadui wa mswada wa katiba mpya
kwa miaka hamsini ijayo tanzania ya leo na kesho
ikichafuka hawa wanapaswa kubeba dhambi hii.
hawa ni pamoja na wabunge wa ccm,cuf and pamoja
na mkuu wa nchi hawa jamaa wanafikiria leo tu na kuweka
maslahi yao mbele.
ee mungu tusaidie 2shinde vita hivi inayotaka kutumaliza.
Hawa ndiyo maadui wa mswada wa katiba mpya
kwa miaka hamsini ijayo tanzania ya leo na kesho
ikichafuka hawa wanapaswa kubeba dhambi hii.
hawa ni pamoja na wabunge wa ccm,cuf and pamoja
na mkuu wa nchi hawa jamaa wanafikiria leo tu na kuweka
maslahi yao mbele.
ee mungu tusaidie 2shinde vita hivi inayotaka kutumaliza.