Hawa ndio wenye ccm.

Slaaa vs mrs Slaaa
endelea

Mrs Slaa hana cheo chochote CHADEMA. Sasa Ukisema hivyo basi itakuwa
Kikwete vs mrs Kikwete
Pinda vs mrs Pinda
Lowassa vs mrs Lowassa
Chenge vs mrs Chenge
Makinda vs oops!
 
Mwanzisha thread atakuwa anatekenywa na kitu. Naona kapost utumbo. Hivi mzee Cleopa Msuya na David Matayo wapi na wapi!
 

akina riz je?

akina nyerere??

akina upson??

hata chadema wapo wengi

nadhani kwangu hii siyo hoja kwani mimi nimefuata profesheni ya baba yangu... wote sisi ni wapiga domo tu
 
Mrs Slaa hana cheo chochote CHADEMA. Sasa Ukisema hivyo basi itakuwa
Kikwete vs mrs Kikwete
Pinda vs mrs Pinda
Lowassa vs mrs Lowassa
Chenge vs mrs Chenge
Makinda vs oops!
Kwa mabandiko yake humu nilifikiri ndiye Nape wa CDM.
 
Thread ipo njema,ila mpangilio wa viongozi na familia zao ningemuomba aurudie vizuri.
 
Kuna nchimbis kaka waziri,mdogo mtu uvccm,mdogo mwingne uvccm,majaliwa,ghasia ni ndugu kwa v.dagama,kuna malecela's bahati nzur mja kashndwa juzjuz anasubiri huruma za riz1.
 

Ni kweli Lusinde AKA Matusi siyo mtoto wa Mzee Job Lusinde. huyo bwana matusi watu wa Temeke wanamfahamu sana wakati akiuza bucha moja ya nyama hapo mtoni kwa Aziz ALLY miaka ya themanini mwishoni kuja tisini, kwenye siasa hadi kuwa katibu wa chama wa CCM alifanyiwa chapuo na Mzee Malacela kutokana na hilo domo lake, ila mtoto mmoja wa Job Lusinde ni yule aliyeko China aliyehusishwa na ile blog iliyopigwa ban ya ZE UTAMU
Wabunge wa Dodoma ukicheck background zao utakuwa mbavu huna- Lusinde (Livingstone) alikuwa muuza bucha kabisaaa wa kuvaa na zile kofiya nyeupe tena alikuwa ndiye kiongozi wa wagogo wauza bucha wa Temeke aliyenipa habari hizi ni buchara mwenzie yuko kijiji cha Nhg`ahelezi akiitwa Stanley.
 


wewe utakua mbumbumbu sana...hoja gani sasa hii..CCM ina wenyewe ungesema labda wale mabepari kama Rostam, Kikwete family etc unataja watu kama nape asio na nguvu yeyote zaidi ya kutumiwa na wenye CCM, Sita aliyetaka kufukuzwa uanachama mwaka 2010...jipange upya
 

Mh napita tu,ila umekosea kitu kidogo tu. Mtoto wa mzee Lusinde anaishi uingereza na wala sio china.
 
Mrs Slaa hana cheo chochote CHADEMA. Sasa Ukisema hivyo basi itakuwa
Kikwete vs mrs Kikwete
Pinda vs mrs Pinda
Lowassa vs mrs Lowassa
Chenge vs mrs Chenge
Makinda vs oops!

Unamalizia "kwa hisani ya watu wa marekani"
 
Mh mengine haya,muwe na ushahidi.. Kuna disclaimer mjue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…