BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,554
- 9,238
- Thread starter
- #61
Al ahly akifika eneo linaloitwa quarter final uwa hana mzaa.
Wewe ni hatari sana kamanda wangu, ila nikupe pole mnyama ameondolewa
Al ahly akifika eneo linaloitwa quarter final uwa hana mzaa.
Mpira hauna nidhamu kabisaUmeona eee, hata lion niliwaambia wanatoka.
Wydad nguvu moja [emoji1434][emoji1434][emoji1434] kama puttin vile [emoji2]
Mpira hauna nidhamu kabisa
Ni ubaguzi tu unaowapa upofu bila hivyo wangeshaona picha mapema sana kwamba waydad au Alahly watafika fainaliHuwa wanapata wapi ujasiri wa kusifia kisichofanya vizuri![emoji2]
Ni ubaguzi tu unaowapa upofu bila hivyo wangeshaona picha mapema sana kwamba waydad au Alahly watafika fainali