farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 701
Mimi nahisi kuna mambo yanatakiwa kwa maandishi lakini yeye pengine anayahitaji kwa njia ya simu tu, sasa hapo unaweza kuona watu wanavokimbizana kutoa majibu ya haraka ili wasitumbuliwe.Naam! Ndio maana anafanya ajisikiavyo na sivyo katiba isemavyo. Ona hili la kusitisha ajira, promotion, mishahara na kulipa madeni ya wafanyakazi wa umma lilivyokaa kisha juzi kaajiri wakuu wa wilaya na madas. Wakati mwingine waweza kudhani kuna wakulu wawili tofauti ila wanaongoza nchi moja. Au washauri wake wana double personalities and faces? Kuna shida mahali. Huyo katibu wake awe ananote kwenye journal matamshi ya mkulu na kumkumbusha basi ili kusiwe na mpishano huu ninaouona.
