Hawa ndio wanaomshauri Rais Magufuli

Hawa ndio wanaomshauri Rais Magufuli

Naam! Ndio maana anafanya ajisikiavyo na sivyo katiba isemavyo. Ona hili la kusitisha ajira, promotion, mishahara na kulipa madeni ya wafanyakazi wa umma lilivyokaa kisha juzi kaajiri wakuu wa wilaya na madas. Wakati mwingine waweza kudhani kuna wakulu wawili tofauti ila wanaongoza nchi moja. Au washauri wake wana double personalities and faces? Kuna shida mahali. Huyo katibu wake awe ananote kwenye journal matamshi ya mkulu na kumkumbusha basi ili kusiwe na mpishano huu ninaouona.
Hakuna mwenye ujasili huo mkuu sasa hivi ni ndiyo mzee
 
Heb

Hebu ntajie watu 4 tu wa CHADEMA wa kumashauri Rais tafadhali! Maana kwa mtindo huu MABAKULI hatuyafungi!
CHADEMA hakuna hata mmoja. Kama walishindwa kutoa ushauri ujio wa Lowassa, sembuse mambo mengine.
 
Hiyo katiba mmeibadilisha lini kuruhusu wapinzani kuwa sehemu ya serikali yenu? Au unaropoka tu?
Mtajie tu maana hata CHADEMA ilikuwa inataka kuongoza inch, sasa hao Mawaziri wa kumshauri Rais kwa CHADEMA wangekuwa kinanani?
 
Kuhusu siasa za Upinzani nchini naamini Nappe ndio mshauri mkuu.!
 
Back
Top Bottom