Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Umemsahau na BulemboNape, maghembe, february nao wanamshauri raisi kumbe! Duu
Umemsahau na BulemboNape, maghembe, february nao wanamshauri raisi kumbe! Duu
Kumbe kitwanga ndiye alikuwa mshauri?Sijaona waziri wa kumshauri Raisi baada ya Kitwanga kutumbuliwa.
Hivi ile issue yake na dr mwaka aligalagazwa?Mfano mtu kama kigwangala si atamshauri kufunga mageti yote, nawaza tu kama hao ndo washauri wa rais
Hakuna mwenye ujasili huo mkuu sasa hivi ni ndiyo mzeeNaam! Ndio maana anafanya ajisikiavyo na sivyo katiba isemavyo. Ona hili la kusitisha ajira, promotion, mishahara na kulipa madeni ya wafanyakazi wa umma lilivyokaa kisha juzi kaajiri wakuu wa wilaya na madas. Wakati mwingine waweza kudhani kuna wakulu wawili tofauti ila wanaongoza nchi moja. Au washauri wake wana double personalities and faces? Kuna shida mahali. Huyo katibu wake awe ananote kwenye journal matamshi ya mkulu na kumkumbusha basi ili kusiwe na mpishano huu ninaouona.
Hebu ntajie watu 4 tu wa CHADEMA wa kumashauri Rais tafadhali! Maana kwa mtindo huu MABAKULI hatuyafungi!Funga bakuli zumbukuku wewe
Sio kweliHakuna mwenye ujasili huo mkuu sasa hivi ni ndiyo mzee
Kulikoni Mkuu mbona unaguna?
SawaSio kweli
CHADEMA hakuna hata mmoja. Kama walishindwa kutoa ushauri ujio wa Lowassa, sembuse mambo mengine.Heb
Hebu ntajie watu 4 tu wa CHADEMA wa kumashauri Rais tafadhali! Maana kwa mtindo huu MABAKULI hatuyafungi!
Hiyo katiba mmeibadilisha lini kuruhusu wapinzani kuwa sehemu ya serikali yenu? Au unaropoka tu?Heb
Hebu ntajie watu 4 tu wa CHADEMA wa kumashauri Rais tafadhali! Maana kwa mtindo huu MABAKULI hatuyafungi!
Jibu swali kwanza kabla ya kuanza ubabaishaji mliouzoea!Hiyo katiba mmeibadilisha lini kuruhusu wapinzani kuwa sehemu ya serikali yenu? Au unaropoka tu?
Subiri uteuzi wa watendaji wa vijijiJibu swali kwanza kabla ya kuanza ubabaishaji mliouzoea!
Mtajie tu maana hata CHADEMA ilikuwa inataka kuongoza inch, sasa hao Mawaziri wa kumshauri Rais kwa CHADEMA wangekuwa kinanani?Hiyo katiba mmeibadilisha lini kuruhusu wapinzani kuwa sehemu ya serikali yenu? Au unaropoka tu?
Ha Ha kwa hiyo wewe uko Jamii Forum kwa ajili ya Vyeo pole yako!Subiri uteuzi wa watendaji wa vijiji
Kuna umuhimu gani wa kujichosha kwa jambo lisilowezekana?Mtajie tu maana hata CHADEMA ilikuwa inataka kuongoza inch, sasa hao Mawaziri wa kumshauri Rais kwa CHADEMA wangekuwa kinanani?
Mimi cheo changu najipandisha mwenyewe kwa kuongeza ubora wa mazao shambani mwanguHa Ha kwa hiyo wewe uko Jamii Forum kwa ajili ya Vyeo pole yako!