Hawa ndio wanaomshauri Rais Magufuli

Hawa ndio wanaomshauri Rais Magufuli

Mimi cheo changu najipandisha mwenyewe kwa kuongeza ubora wa mazao shambani mwangu
Usingekuwa na mawazouliyoyasema! Naona umevurugwa huko shambani ndio maana kutwa JF kuwania vyeo vya 2025. Halafu hivi hujui kuwa Chama kina wenyewe if at all ni Chama kwani ni Kampuni hiyo. Na Asante JF kwa majina Fake maana kesho ningejikuta Kisutu kushatakiwa kwa kuita Chama Kampuni maana kwa Vyesi ndio wenyewe sasa kabla ya Tundu Lisu Haijaisha wanataka kufungua kesi ya kutolipwa Posho ambayo hawajaifanyia kazi. Shame on You!
 
Usingekuwa na mawazouliyoyasema! Naona umevurugwa huko shambani ndio maana kutwa JF kuwania vyeo vya 2025. Halafu hivi hujui kuwa Chama kina wenyewe if at all ni Chama kwani ni Kampuni hiyo. Na Asante JF kwa majina Fake maana kesho ningejikuta Kisutu kushatakiwa kwa kuita Chama Kampuni maana kwa Vyesi ndio wenyewe sasa kabla ya Tundu Lisu Haijaisha wanataka kufungua kesi ya kutolipwa Posho ambayo hawajaifanyia kazi. Shame on You!
Mbona unaandika unatetemeka? Yaani unajidanganya kwa hiyo fake ID yako ndio huwezi kujulikana? Unaijua maana na kazi ya tcra? Pole sana
 
Mimi ni mkulima tu siyo mwana mieleka
Ndiyo haya anayoka taa Magufuli halafu manaanza kulialia. Unakuwa Mkulima tu unatakiwa ufanye kitu kinaitwa Diversification - sasa wwewekuwa mkulima tu unaridhika. Halafu uje udai umeachwa ndio maana nimekwambia mtani hebu jiongeze, sasa wewe ni mkulima tu! Ukishalima unasubiri walanguzi waje wanunue mazao, mtani jiongeze Zama hizi nyingine Ujue!
 
Ndiyo haya anayoka taa Magufuli halafu manaanza kulialia. Unakuwa Mkulima tu unatakiwa ufanye kitu kinaitwa Diversification - sasa wwewekuwa mkulima tu unaridhika. Halafu uje udai umeachwa ndio maana nimekwambia mtani hebu jiongeze, sasa wewe ni mkulima tu! Ukishalima unasubiri walanguzi waje wanunue mazao, mtani jiongeze Zama hizi nyingine Ujue!
Ukiona sehemu yoyote mlanguzi anauziwa mazao ujue hakuna soko la uhakika la hayo mazao,either mkulima anakopwa na wenye soko au bei ni ndogo
 
Back
Top Bottom