Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Alvaro Morata
Unaharibu uzi na hii takatakaOkwi.
Naona Argentina wamekomaa na Higuan badala ya Icardi kwa sababu ya personal issues
Icardi tayari kashaliwa kichwaPaulo Dybala na Mauro Icardi hawa wapo danger zone yawezekana wasiitwe kikosini.
yametimiaAsipokuwepo Mauro Icardi sinangalii gemu hata Moja ya Argentina
ulikuwa sahihihapo mmoja lazma akatwe
Dah nimeumia sana aisee had mzuka wa kuishabikia Argentina naona umekataImeniuma sana
Daah inauma lkn ndo hivo tena mkuuIcardi tayari kashaliwa kichwa
Sema Messi ndo hamuelewi. Urafiki wa Maxi na Messi unazidi kumkandamiza Icardi timu ya taifa.Nmesikia story mahali wanasema icardi alitembea na mke wa muargentina mwenzie ndo maana timu ya taiga wachezaji wote hawamuelewi..kama ni kweli bora wamuache maana Jamaa hasingekuwa na amani kabisa kambini!!
Mauro Icardi angoje world cup ya 2022 uarabuni Qatar
Mkhi.......Naingolan
Ircad
Benzema
Koscienly
Morata
Fabregas
Payet
Debuchy
Martial
Al sharaawy
Bakayoko
Wilshere
Joe Hart
Chermbalein
Sturriggle
Coman
Walcot
Achraf Hakimi
Medhi Benatia
[/B] ambao hawakufuzu
Aubameyang
Mahreaz
Sneider
Na mastaa wote wa Italy na Uholanzi na Congo Kinshasa
Nawasilisha