umeandika ukweli mtupu .
Hii ina maana kuwa Lowassa na hao maadui wengine wote hawatufai.
Kwa hiyo Watanzania tunatakiwa kumchagua mtu ambaye hana madoa ili tuanze nngwe mpya ya viongozi wasafi.
Magufuli amekuwa serikalini kwa miaka mingi na ameweza kuepuka vishawishi vya rushwa na ufisadi papa. Tumchague Magufuli na kuanza nngwe mpya ya viongozi wasafi na kuacha kulaghauliwa na mafisadi kama Lowassa na wapambe wake.
Hii singo ya ufisadi ilishapita na wakati…Ktk orodha ya Slaa aliwataja mafisadi 11 sasa kama "fisadi" mmoja kahama huko CCM na kaja ukawa sasa chama gani chenye mafisadi zaidi???
Kati ya Mafisadi 11 waliopingwa vibaya na CHADEMA, ni EDWARD LOWASSA peke yake ambaye bado anataka kuurudisha UFISADI IKULU.
LOWASSA = HATUFAI
labda kama magufuli angekua ni mgombea binafsi ningemfikiria, kwa kuwa yuko ccm hamna kitu kipya ni yaleyale tu. Mabadiliko hayaji kwa kurekebisha mfumo yatakuja kwa kubadilisha mfumo
Uwe mwizi usiwe mwizi kitendo cha kuwa ccm we tayari ni mwizi
Serial I imepiga EpA NA Escrow juzi turn Leo tuwarudishe tens tutakuwa tuna akili za kuku
Serial I imepiga EpA NA Escrow juzi turn Leo tuwarudishe tens tutakuwa tuna akili za kuku
Kati ya Mafisadi 11 waliopingwa vibaya na CHADEMA, ni EDWARD LOWASSA peke yake ambaye bado anataka kuurudisha UFISADI IKULU.
LOWASSA = HATUFAI
kuna mwenzako aliongea yote hayo nikamuuliza kwa hiyo serikali ya awamu ya nne chini ya chama cha ccm ilikua inafahamu kuwa lowasa ni fisadi? unaweza kumsaidia kujbu.
Kuna list ya mafisadi aliyotaja dr Slaa pale mwembeyanga ilikua na watu 11, mbona hao wengine hawatajwi au kuanzia jina la kwanza hadi la mwisho alikua ni lowasa tu?
Tatizo mnaambiwa lowasa fisadiukiulizwa aliliingizia taifa hasara ya shilingi ngapi hamjui. Sumaye alisema ufisadi wa escrow, Epa, meremeta ukitokea lowasa alikuwepo? mbona hamtoi majibu