Hawa ndio wabunge ambao hawatarudi tena 2025, Waanze kubeba virago

Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
COVID 19 wote wajiandae kuuza papuch
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule
Ukonga
Jimbo hili ni.kama ilivyokuwa Temeke enzi za Lyatonga Mrema.hali ni mbaya sana kwenye miundo mbinu hasa barabara zote za kichangani,stakishari,ukonga kitunda,nyantira,mwanagati kibeberu,magore,kivule ni kubaya sana,sana.hakuna mipangilo ya miji nk.Mh Slaa ajaribu kutuonyesha nia ya kujenga mind.mbinu hii
 
Ni hivii issue ya Pima ipo kwenye mfumo wa sheria....
Sasa yeye kila siku anairudia hii issue wakati iko mahakamani...
Anairudia makusudi ili ionekane Arusha watu ni wezi na hatua hazichukuliwi...
Hii ni issue tofauti na ile ya Pima,wacha kupotosha mambo!

Pia wacha kuweka chuki binafsi kwenye masuala yanayohusu raslimali za taifa la watanzania wote.

Wewe inaonekana kuwa una maslahi na eneo husika kabisaa!
 
Kwa hiyo chadema ikibahatika inaweza kupata wabunge watano tu kwenye uchaguzi ujao? Au utaongezea idadi baadae?
 
Hii ni issue tofauti na ile ya Pima,wacha kupotosha mambo!

Pia wacha kuweka chuki binafsi kwenye masuala yanayohusu raslimali za taifa la watanzania wote.

Wewe inaonekana kuwa una maslahi na eneo husika kabisaa!
Mkuu kama unata ukweli issue ya bodaboda michango ilianzia yeye akiwa RC na michango ikapotea...
Sasa kuonyesha yeye hajui chochote eti anapiga kelele kumtafuta mchawi
 
Jerry silaa Hana chake mjinga yaani ajitafutie chimbo lake mapema
Hili n zigo barabara zimeharibika kwelikweli Ila lenyewe linaongea ujinga kuwa iongezwe 100 kwenye mafuta ya vyombo vya Moto kupatikana fedha ya kutengeneza barabara.

Barabara ya Mombasa, Moshi bar mkolemba, kanyigo had msongola n mbovu kwelikweli.


Barabara ya banana, Kitunda hadi msongola n mbovu kwelikweli -mashimo tupu.

Barabara ya Mombasa, Moshi bar kwa diwani had mbondole n mbovu kwelikweli -mashimo tupu!.

Mchanga unakusanywa unatandazwa barabarani mvua ikinyesha inasafirisha mchanga na kuacha madimbwi na mashimo kila sehemu.

Hivi, fedha ya Jimbo inafanya kazi gani au katka utawala huu wa kifisadi na wizi wa Mali za umma ruzuku ya Jimbo haitolewi?. Kama fedha ya Jimbo haitolewi tuambie tuache kukulaumu kwa sababu hauwezi kutoa fedha yako mfukoni kutengeneza barabara kunakokusanywa kodi na dola kila uchwao. Yawezekana unashindwa kutamka kuwa fedha ya Jimbo haitolewi na badala yake unatumia tafsida kuwa iongezwe shilingi 100/= kwenye mafuta ya vyombo vya Moto kugharamia matengenezo ya barabara Jambo ambalo haliwezekani.



Jerry endelea kulia bungeni ila 2025 lakini usilete pua yako Jimbo la Ukonga.
 
2025 wabunge wa CDM wakuchaguliwa watakuwa zaidi ya 50 Bungeni.
Mbeya Mjini ni rahisi sana CDM kushinda ila kutokana na kuwa na Mbunge wa hapo ndio Spika itakuwa vigumu atapitishwa hata kwa Mkono wa chuma.
 
Hili n zigo barabara zimeharibika kwelikweli Ila lenyewe linaongea ujinga kuwa iongezwe 100 kwenye mafuta ya vyombo vya Moto kupatikana fedha ya kutengeneza barabara.

Barabara ya Mombasa, Moshi bar mkolemba, kanyigo had msongola n mbovu kwelikweli.


Barabara ya banana, Kitunda hadi msongola n mbovu kwelikweli -mashimo tupu.

Barabara ya Mombasa, Moshi bar kwa diwani had mbondole n mbovu kwelikweli -mashimo tupu!.

Mchanga unakusanywa unatandazwa barabarani mvua ikinyesha inasafirisha mchanga na kuacha madimbwi na mashimo kila sehemu.

Hivi, fedha ya Jimbo inafanya kazi gani au katka utawala huu wa kifisadi na wizi wa Mali za umma ruzuku ya Jimbo haitolewi?. Kama fedha ya Jimbo haitolewi tuambie tuache kukulaumu kwa sababu hauwezi kutoa fedha yako mfukoni kutengeneza barabara kunakokusanywa kodi na dola kila uchwao. Yawezekana unashindwa kutamka kuwa fedha ya Jimbo haitolewi na badala yake unatumia tafsida kuwa iongezwe shilingi 100/= kwenye mafuta ya vyombo vya Moto kugharamia matengenezo ya barabara Jambo ambalo haliwezekani.



Jerry endelea kulia bungeni ila 2025 lakini usilete pua yako Jimbo la Ukonga.
Sasa mfuko wa jimbo 200M na unaweza kuta ni chini ya hapo utafanyia nini cha maana.
 
Wafuatao ni baadhi ya wabunge ambao hawatarudi 2025 na waandae kabisa makorokoro yao kabisaaa.

Hii ni kutokana na KUTOKUKUBALIKA NA WANANCHI WA JIMBO HUSIKA, KUTOKUPELEKA MAENDELEO MAJIMBONI MWAO, na kadhalika

Wengine wadau mtazijazia;

1. Mbunge wa UKONGA (Jerry Silaa)

- Huyu ameshindwa kabisa kuweka miundombinu ya barabara kuanzia hapo hiyo barabara ya ukonga mombasa mpka kule moshi bara na kwa diwani barabara ina ma-pot holes kibao imejengwa kwa kiwango cha chini, cha kushangaza hiyo lami haina hata miak 10, barabara za ndani za gongo la mboto ni hovyo, miundombinu ya maji ni zero kabisa, anawaza kuongeza tozo ya tsh 100 kwa wakaz wa dar tu

AAANZE KUFUNGASHA KABISAAAA

2. Mbunge wa Tarime Vijijini (Mwita Waitara)

-Huyu jamaa namkumbuka sana kuanzia miaka ya nyuma sana wakati anagombea uchaguzi wa ndani wa chadema wa kupata mgombea atakayeiwakilisha chama cha CHADEMA kwenye uchaguzi nakumbuka walisimamishwa wagombea watatu na yeye akaibuka mshindi wa kuiwakilisha ukonga kwa tiketi ya chadema kwenye uchaguzi na badae akaamua kuhamia CCM huko Tarime vijijini, hawamtaki na hana ushawishii, Na amekwisha kujijua kuwa hatorudi tena 2025.

AANZE KUAGA

3. Mbunge wa Mikumi. (Jina limenitoka)

- Niliwahi kukaa mikumi kwa mwezi mmoja kwa kazi maalum na niliweza kukutana na wadau mbalimbali ambao katika kubadilishana mambo ya kazi na stori za hapa hapa, Niligundua kuwa wengi wao bado wana imani na PROFESA JAY, na waliuumia kunyan’ganywa ubunge kupitia CHAFUZI za kipindi kile, bado wanampenda na PROFESA JAY ikimpendeza tena na kugombea ataSHINDA. kwa kishindo.

AANZE KUJIANDAAA KUONDOKA BUNGENI

4. Mbunge wa Kawe ( Gwajima)

- Ndugu yangu huyu wala nisitumie nguvu kubwa kueleza chochote hapa ila nadhani kila mtu anajua kuwa huyu jamaa hamna kitu.Huyu alipachikwa baada ya kukatwa jina la mhe..... wa Sisiem lakini yajayo yatatushangaza

ASUBIRI WANA-KAWE WANA JAMBO LAO

5. Mbunge wa Mbeya Mjini(Mwansasu speaker wa bunge)

- Mbeya ilivyoaachwa enzi zile za mbunge wa chadema mpaka leo hakuna maendeleo yoyote ya maana yaliyofanyika.Mbeya itarudi kwa upande wa chama chetu cha Chadema na hilo liko wazi.

Mbaya zaidi ni baada ya kuona vituko kwenye bunge na kuzuia hoja za msingi kujadiliwa kwa mgongo wa kanuni na miongozo ambayo inashindwa hata kueleweka vizuri.Hivi ripoti ya CAG ilishindwa hata kujadiliwa kwa hati ya dharura, kwani wizi na ufisadi si tishio kwa nchi?

MBEYA WATAKUFURAHISHA JUST WAIT

Wengine mtajazia wadau ili wapite hapa wajue kuwa Watanzania tumeamuaa

ni yuleyule

Brother nimeipenda DP yako, jinsi unavyoongea na simu ya mezani.
 
Back
Top Bottom