Kwa akili ya kawaida utaona ni divorce . . Ila hawawezi kukwambia siri iliyopo hapo .. kiufupi tu Ndoa ni taasisi ambayo inakuwa na kawyers na bankers na kila kitu ambacho taasisi inahitaji wanafanya hivyo kwa sababu ya protection na mambo ambayo ni siri huwez yaona hapa .
Ndoa za matajiri wa huko sio kama za huku mjomba . Fungua kwanza ufahamu wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.