meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
katika mjadala unaoendelea star t.v mheshimiwa ismail jussa ameulizwa swali kwamba ana uhusiano gani na rostam aziz?
jibu lake likawa:
rostam azizi ni rafiki yangu kama alivyo david kafulila,zitto kabwe na january makamba.
jaribu kuifuatilia list ya majina hapo juu ambayo kisaikolojia itakuwa ni ukweli kutoka kwa jussa,je urafiki wa kundi hili unatupa picha gani?
nawasilisha.
jibu lake likawa:
rostam azizi ni rafiki yangu kama alivyo david kafulila,zitto kabwe na january makamba.
jaribu kuifuatilia list ya majina hapo juu ambayo kisaikolojia itakuwa ni ukweli kutoka kwa jussa,je urafiki wa kundi hili unatupa picha gani?
nawasilisha.