Ok.Aliwatenganisha September 1987
Sasa wana miaka 31
Mkuu hebu tupe historia ya hao mapacha japo kidogo kama unaijua,ni wa nchi gani? Na sasa hivi wako wapi hao mapacha na wanafanya nini? Dr aliyewatenganisha bado yupo hai? Na ni wa nchi gani?Benjamin Solomon Carson mwafrika huyu historia yake inavutia sana
Mkuu hapa unamzungumzia Dr aliyewatenganisha hao mapacha au unawazungumzia hao jamaa mapacha?Ila huyu jamaa historia yake inafariji na kutia moyo sana. Kutoka mtu mbumbu hadi kuongoza darasani kisha kuongoza kitengo taasisi kubwa ya John hopkins sio kitu rahisi.
Mama yao licha ya kutokujua kusoma na kufanya kazi za ndani kwa wasomi alitoa mchango mkubwa sana kwenye mafanikio ya huyu jamaa.
Mkuu hapa unamzungumzia Dr aliyewatenganisha hao mapacha au unawazungumzia hao jamaa mapacha?
salute to Dr. Ben,ila hawa kwenye picha sio wale mapacha waliotenganishwa.wale hawakukua vizuri na mpaka leo bado hawako sawa though wali surviveAliwatenganisha September 1987
Sasa wana miaka 31
Kwani kuwa Dr. ndio kuweza kuwa RAIS? Angeweza mikikimikiki ya middle East na Korean peninsula?Alafu ajabu huyu jamaa alishindana na trump kuwania nafasi ya kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM ya marekani(republican) wakamnyima yeye wakampa Dokta Trump gwiji la mipasho na ukurupukaji,kweli dunia imevaa pensi nyanya.
WENYE PESA HUKAA NA WENYE PESA WENZAOHalafu kwa hulks yake nilitegemea awe democrat na c Republican