Hawa Mix by Yas wajitathimini wanakwama sana

Hawa Mix by Yas wajitathimini wanakwama sana

HUMAN ERROR

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
369
Reaction score
685
Mlio karibu nao muwape taarifa wanafeli sana .

Mtu unahela kwenye simu ila unakosa kulipia dili au lala njaa kisa mtandao wao .
Soma pia Kampuni ya YAS ni failure katika huduma zao hasa Mix by YAS

 
Unaweza ukawa na pesa kwenye simu na ukalala njaa bongo hii.
 
Tatizo lilianzia kwenye By hapo.
wenyee hua hawaandiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimetuma hela haiafika tokea jana saa mbili asubuhi haijafika mpaka leo, niliwapigia wakasema ndani ya masaa 24 maumala Utaenda sasa inakwenda masaa 36 bado. Nimekosa Imani na huu mtandao situmiii tena angalau voda wanajielewa. Yani unapiga customer service hajui hata anachokiongea yas ni useless kabisa👹👹👹👹👹👹👹👹
 
Sio kwenye hela tu hata network yao haiko vizuri, ukipiga simu kwa kutumia voda na ukipiga kwa hiyo mix by matako ni tofaut kabisa.
 
Me kumtamkia Wakala "Niwekee Mix by yas",au "Nipigie Kwenye yas" hizi sentensi zinanishinda kabisa kuzitamka...
 
Jana nimenunua vocha ya 5000 kupitia mix by yas, wakanipa salio la 2000. Honestly kampuni imekuwa tatizo kubwa.
 
Customer service wa YAS hawana kauli nzuri kma kuna mmoja anaitwa Mundhir ni useless kabisaa anamfokea mteja
 
Sio kwenye hela tu hata network yao haiko vizuri, ukipiga simu kwa kutumia voda na ukipiga kwa hiyo mix by matako ni tofaut kabisa.
Voda Kwa Tanzania ni Premium, Service zao nyingi ni Premium feature hata internet yao maeneo yenye coverage speed yao iko Vizuri, Hata phone call quality ipo Supa sana na Voda ndio wenye Volte peke yake Kwa Tanzania ivo Wana HD call nzuri sana
 
Voda Kwa Tanzania ni Premium, Service zao nyingi ni Premium feature hata internet yao maeneo yenye coverage speed yao iko Vizuri, Hata phone call quality ipo Supa sana na Voda ndio wenye Volte peke yake Kwa Tanzania ivo Wana HD call nzuri sana
Voda iko njema mno, ukitumia mitandao mingine utaona miteyusho sana hasa kwa mijini.
 
Back
Top Bottom