Hawa mbuzi wanashangaza sana!!

Kama nimekuelewa unamaanisha mnyama hana hofu,au hana uwezo wa kujua hiki ni hatari,kwanini akiona mnyama hatari anakimbia?


Anakimbia kwasababu anaendeshwa na NATURAL TENDENCY kwamba jambo fulani ni hatari hiyo sio akili, mwenye akili ni binadamu tu na sio wanyama---- ni sawa na maji ukiyamwaga chini yatatiririka kuelekea chini hiyo ni natural tendency yake wala huwezi kusema eti maji yanayo akili ndio maana yanatiririka kuelekea chini mabondeni kujaza mito, mabwawa na maziwa.

Natural tendency kwa wanyama ndio instincts /silika.
 
Bosi hiyo unayoiita akili inakaa ktk sehemu gani ya mwili?
 
Bosi hiyo unayoiita akili inakaa ktk sehemu gani ya mwili?


We unadhani akili ni kiungo kama mkono nk, katika mwili wa mtu??-- inaposemwa mtu fulani ana kichaa je waweza kuuliza kuchaa kinakaa wapi?? Kinakaa kwenye ubongo kama akili inavyokaa kwenye ubongo.
 
Iyo ni geotropism ni kawaida n sawa na ww kukua kwa kwenda juu
 
Iyo ni geotropism ni kawaida n sawa na ww kukua kwa kwenda juu


Ni Phototropism, Geotropism ni mizizi kwenda chini.

Kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba hata mtu kukua mwili kwenda juu ni natural tendency kwani mtu hakui kwenda juu au kunenepa nk, kutokana na utashi wa nafsi yake yaani kutokana na akili yake.
 
swali wanapandaje sio sual la kujua hatari au la
 
Huko mbali muweke juu ya bodi ya gari bila kumfunga uone Kama ataruka
 
Ni Phototropism, Geotropism ni mizizi kwenda chini.

Kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba hata mtu kukua mwili kwenda juu ni natural tendency kwani mtu hakui kwenda juu au kunenepa nk, kutokana na utashi wa nafsi yake yaani kutokana na akili yake.
Nilikuwa sijaona vzur kumbe kuna nuru hapo nikafkr tund la chin ya kopo kwenye miziz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…