Hawa mawaziri ni wa serikali ipi?


Na je katiba hii chakavu inaruhusu Rais wa Zanzibar kuteua mbunge toka bara kuwa waziri kule visiwani?
Hata ile walio fanyia marekebisho kwa kuita serikali ya umoja wa kitaifa SUK je inaruhusu?
 
Hivi humu ndani hamna wana sheria pamoja na wataalamu wa katiba?
 
Hapa sasa kichwa kitaanza kuuma tena ila maadamu mambo yanaenda bila kujali yanaendaje poa tu
 
"mkataa asili ni mtumwa", unamaanisha hili mkuu!? Maana ni kweli tunavyoonekana kwa sasa tumekuwa watumwa katika nchi yetu na hii ni kuanzia yule aliye juukabisa hadi bibi yangu aliye kijijini(japo huyu ana nafuu)
Yani ni aibu watu kuikana asili yao! sijui wanaona aibu gani kusema miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika! shee!
 
Hiki chama kinacho ongoza nchi kinatuchanganya sana, wako tayari hata kuweka wizara ya mke wa rais ilimuradi tu wa meet their interest.
 

Na ukiwabana wanasema serikali ya Tanzania Bara..(non sense)
 


Verygood for constructive and logical idea, Ndugu hii nchi yamejaa madudu matupu hata mfumo wa serikali yetu haueleweki kabisa sasa unadhani patakuwa na maendeleo hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…