Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,005
Nipo hapa Dodoma ni mwaka wa 18 mpaka hivi sasa, cha kushangaza katika miji mingi wanapima viwanja lakini wanasahau kuweka viwanja vya michezo pamoja na vya kucheza watoto!
Inatakiwa hili waliangalie kwa hicho la Huruma ili tuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza,kama vile unene uliopitiliza, Kisukari,Ugonjwa wa moyo nk.
Mfano hapa stand ya Mkoa,mpaka ufike Dodoma mjini hakuna kiwanja Chochote Cha michezo ukiondoa vya shule .
Mazoezi ni Muhimu kwa Binadamu,ili kupunguzwa magonjwa yasiyo ya lazima,wafanye katika kupima viwanja maeneo pia yatengwe ya viwanja vya michezo
Ahsanteni.
Inatakiwa hili waliangalie kwa hicho la Huruma ili tuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza,kama vile unene uliopitiliza, Kisukari,Ugonjwa wa moyo nk.
Mfano hapa stand ya Mkoa,mpaka ufike Dodoma mjini hakuna kiwanja Chochote Cha michezo ukiondoa vya shule .
Mazoezi ni Muhimu kwa Binadamu,ili kupunguzwa magonjwa yasiyo ya lazima,wafanye katika kupima viwanja maeneo pia yatengwe ya viwanja vya michezo
Ahsanteni.