Hawa jamaa wa wrong parking Arusha ni kero sana

Hawa jamaa wa wrong parking Arusha ni kero sana

Hamiyungu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
598
Reaction score
776
Ukiwa Arusha Kuna barabara hazina hata vibao vya kuonesha kuwa huruhusiwi kuingia/au kupita lkn ghafla utashangaa umezungukwa na wahuni wakidai ni wazee wa wrong parking eti umepita kimakosa lipa faini elfu 50.Hii kitu ni usumbufu mkubwa Sana na bora wangekuwa wanavaa sare za kuwatambulisha.

Na pia waweke alama kuwa hii barabara haitoki watu wajue na wavae sare,mijitu ipo rafu rafu tu nani anaweza kulipa kwa mhuni?

Ukipita stand ndogo ya hiace utaambiwa lipa ushuru kisa umeingia stand hata kama ni gari binafsi.Haya mambo hayana msingi wowote zaidi ya usumbufu tu.
 
Ukiwa arusha Kuna barabara hazina hata vibao vya kuonyesha kua huruhusiwi kuingia/au kupita lkn ghafla utashangaa umezungukwa na wahuni wakidai ni wazee wa wrong parking eti umepita kimakosa lipa faini elfu 50....hii kitu ni usumbufu mkubwa Sana na bora wangekua wanavaa sare za kuwatambulisha.
Na pia waweke alama kuwa hii barabara haitoki watu wajue na wavae sare,mijitu ipo rafu rafu tu nani anaweza kulipa kwa mhuni?ukipita stand ndogo ya hiace utaambiwa lipa ushuru kisa umeingia stand hata kama ni gari binafsi...haya mambo hayana msingi wowote zaidi ya usumbufu tu.

Nilivyokua arusha walikwahi kunikamata zaidi ya mara kumi ila nililipa faini mara moja,..mara zote nilikua ama nawadindishia na mkwara ama nawapa buku jero wapate lunch,...pumbafuuuuuu sana hao jamaa,....ningekua na kibasitola mkweche wallahiiiiii ningempiga mtu kidevu

By the way,..i real miss the city,....

CC; #Preta ,Philipo,Pj,Arushaone,Blackwoman,Marejesho,Cantalasia,Tony.........
 
Njaaa tu hawaweki alama ili ukosee. ukiwauliza wanakuambia ni sheria za jiji
 
kibaya zaidi wamechora viparking vya vigari vidogo kama vitz. ukiwa na pick up au noah utakoma kuchekecha gari
 
Muda si mrefu mtasikia nimeuwa mmoja wao!
 
Ni kosa kubwa sana kisheria kukucharge hela kama hamna vibao vyovyote vile vya alama, usikubali kulipa nenda nao hata mpaka mahakamani hakuna chochote utakachowalipa,, tatizo la hao watu ni mbumbumbu ndo maana hata sheria hawajui
 
na kweli ni mbumbumbu wa sheria ukiangalia barabara nyingi zinazokataza usipande au kushuka zimegawanywa kwa mstari wa kati sasa waliweka mstari kwa ajili nini otherwise waache upande mmoja wa mstari uwe ndio parking. Na hata hayo makusanyo yanaingia mfukoni wa fisadi mmoja tuu
 
Back
Top Bottom