Hawa Binadam wenzetu sijui wana utu au la!!!!

Hawa Binadam wenzetu sijui wana utu au la!!!!

Mkuu, asante kwa ushauli, ila kusema ukweli nilishakoma. Kati ya hao watoto akipatikana mmoja au wote ntashukuru na ntalea, vinginevyo sina hamu na hawa binadamu. Nikishindwa ntanunuwa lakini kuweka akilini halitakaa litokee ndugu yangu. Nimeona mengi acha!
Usiusemee moyo kwamba hutapenda tena. Mapenzi ni kama ajali hutokea muda wowote, popote na kwa yeyote....
 
Wewe mwenyewe umefikia wapi? Ndio sisi tushauri maana kwa kweli inaonekana hata tukikushauri unaweza usitukubalie na ukaenda kwa hao hao wadada ukawauliza wanasema hivi eti ni sawa?
Hahahaha siyo hivo bro;
Mi nilivyokuwa nawaza
1) Pamoja na kwamba mtoto anae na baba ni wawili lakini yeye mwenyewe anajua baba halisi ni nani; nilikua naona niachane nae, mladi home anapajua kama kweli ni wangu akijisikia atamleta na kama ameshamhalalisha ni juu yake.

2)Huyu wa pili nae ndo kuna utata hasa. Je, kwa sababu kazidisha miezi 9 ya kawaida niachane nae atafute baba mtoto au niendelee kuhudumia! Na kwa mwenendo wake, je nikiendelea bila uhakika wa kuwa mtoto ni wa kwangu akisema si wangu si ntakuwa nimehangaika bure!
 
Huo ndo ukweli;
Ushauli naohitaji
1) Kuna haja ya kuendelea kuwaza huyu baby-girl ambaye ana baba wawili? Je nikijitoa mwishowe mtoto akaja kunitambua kama baba ukubwani ntakuwa nimemtendea haki?

2) Huyu mtoto aliyezaliwa kwa muda wa mwaka na siku 18, mbali na kupima DNA, niendelee kulea au washikaji wamekula mi nalamba mikono na kuwalelea?
Mbona solution ni ndogo sana...kapime DNA na watoto wote hao itakuweka huru
 
Usiusemee moyo kwamba hutapenda tena. Mapenzi ni kama ajali hutokea muda wowote, popote na kwa yeyote....[/QUOT

Valentina sijui jipya ntakachokua nafata huko ni nini! Kila kitu nimeshaona, mazuri na maovu tayari. Nilishanawa dada
 
Hahahaha siyo hivo bro;
Mi nilivyokuwa nawaza
1) Pamoja na kwamba mtoto anae na baba ni wawili lakini yeye mwenyewe anajua baba halisi ni nani; nilikua naona niachane nae, mladi home anapajua kama kweli ni wangu akijisikia atamleta na kama ameshamhalalisha ni juu yake.

kwa kuwa amekiri kuwa mko wawili., mwambie suala la kuthibitisha baba halisi liwe chini ya mkemia mkuu wa serikali, kapime dna kama ataleta utata tupa kule siku atakayoona unahusika basi uhusika wako ukathibitishwe kwanza... usihusike bila kuthibitika tafadhal


2)Huyu wa pili nae ndo kuna utata hasa. Je, kwa sababu kazidisha miezi 9 ya kawaida niachane nae atafute baba mtoto au niendelee kuhudumia! Na kwa mwenendo wake, je nikiendelea bila uhakika wa kuwa mtoto ni wa kwangu akisema si wangu si ntakuwa nimehangaika bure!

Hili suala la pili lipo wazi kabisa.., we jikate wanakuchora tu huku. Kama nafsi bado inakataa kapime dna ingawa majibu unayajua
 
You are sleeping on the white matter between your ears. This lady is having a lovely ride with you. Wake up from slumber, needing a child doesnt make you a zombie.
 
Kuna mawili nimeona hapa:
Labda weye kila mwanamke unayelala naye unajigamba kuwa leo nimekuzalisha na usiitoe hiyo mimba yangu.
Au, huenda wanajua kuwa huwezi lolote halafu unapoenda kuulizia kama mama alipata mtoto, wanakubambikizia.
Why??
Kwa sababu, haiwezekani ugundue kuwa mama wa mtoto anakuchuna tu fweza akiwa na mwingine anayemchuna pia, weye baado uendelee kumtafuta ili umpe fweza za kumlea mtoto ambaye umeshaambiwa sio wako. Hii sijui imekaaje.
Pili, mwanamke gani atakayebeba mimba miezi 12+?? Haya, kasema alilogwa, je mda woote huo alikuwa kishakuambia kuwa ana mimba??
Ushauri;
Ili uwe na amani, kapime DNA. Kuna upimaji wetu wa kienyeji, Mchunguze mtoto, Paji la uso, vidole vya mikononi, nywele na umbo wa uso. Hafaninii kwenu hata kidogo?? Kama ni hapana, nenda kwenye kipimo cha kizungu. DNAtest. Hii ni ghali lakini.
Kipimo kingine;
Mwambiye akupe mtoto ukamlee mwenyewe. Akikubali chukua, mweke mahali wiki 2 hivi, halaf mwambiye aje kumlea mwanaye. Akikubali chukua mkeo, kitanda hakizai haram.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom