Ndugu,naomba niwasilishe hili linalonkera kuhusu hawa ndugu zetu wa jwtz
Dah naishi mtaa fulan na familia mbili za askari wa jwtz,hawa jamaa kila mtu ana mke wake ila wapo vikosi tofauti,kilichonishangaza zaidi tabia zao wote ni sawa yan wote ni walevi,na wanapenda wanawake balaa(kugonga nje). Hawa wote ni rika yangu na wote wanamigogoro na ndoa zao yani kufokeana na wake zao na kupigana ni jambo la kawaida.
Kilichonifanya ni lete uzi hapa ni jinsi wanajisifia kwa kunywa pombe sana na kugonga mademu sana. Mwanzoni walikuwa marafiki zangu lkn sahv nmewachoka kila mara nasuruishi maugomvi kwny familia yan nawatetea ilihali nikijua ni ukweli wayafanyao.
Je wanajf wenzangu hili mmeshakumbana nalo huko hasa wale mnaoishi hawa jamaa ktk mitaa yenu na mnalionaje,kwangu mm sikubaliani nalo.
Dah naishi mtaa fulan na familia mbili za askari wa jwtz,hawa jamaa kila mtu ana mke wake ila wapo vikosi tofauti,kilichonishangaza zaidi tabia zao wote ni sawa yan wote ni walevi,na wanapenda wanawake balaa(kugonga nje). Hawa wote ni rika yangu na wote wanamigogoro na ndoa zao yani kufokeana na wake zao na kupigana ni jambo la kawaida.
Kilichonifanya ni lete uzi hapa ni jinsi wanajisifia kwa kunywa pombe sana na kugonga mademu sana. Mwanzoni walikuwa marafiki zangu lkn sahv nmewachoka kila mara nasuruishi maugomvi kwny familia yan nawatetea ilihali nikijua ni ukweli wayafanyao.
Je wanajf wenzangu hili mmeshakumbana nalo huko hasa wale mnaoishi hawa jamaa ktk mitaa yenu na mnalionaje,kwangu mm sikubaliani nalo.