Mkuu ukichunguza hii gari ubao wa namba ya gari hua unakaa pembezoni kwasababu ya hiyo towing bull bar.Inaelekea huyu jamaa ndio tabia yake maana hadi number za gari ametoa kama ili akimpakia msije mkasema ameondoka na gari namba 'T XXX CCM'
Mkuu, mbona mimi huwa sina bahati ya kukutana navyo? Vinapatikana wapi zaidi?Vinapendeza mno afu vinapenda starehe na pesa,lazima vitafunwe,kila mzazi amfunde mwanae,ukimwacha wakufundishie wenzio matokeo ndo hayo
chips yau yai na kuku tu unamaliza kila kitu lol mabazazi haya yanayoharibu watoto wa wenzao na wao watoto wao wanaharibiwa hapahapa duniani we ngoja tuu
Alivyoinama kidogo kama anatoa hela vile ameweka kwenye kadroo pale kwenye dash board
Mwanamke ana power ya kukufanya ufungue hata senti ya mwisho uliyokuwa umeificha kwenye mfuko wa ndani ukaiacha familia yako ikilala njaa. Usimdharau mwanamke.noop umekosea sio kwenye dashbody anatoa kutoka kwenye mfuko wa suruali wa upande wa kulia huku anamwangalia usoni binti arembue macho loooh!! kwishnehi student
wa tandikaaaaaaaaa
chips yau yai na kuku tu unamaliza kila kitu lol mabazazi haya yanayoharibu watoto wa wenzao na wao watoto wao wanaharibiwa hapahapa duniani we ngoja tuu
Alivyoinama kidogo kama anatoa hela vile ameweka kwenye kadroo pale kwenye dash board
wapi wewe alikuwa anammfungulia mlango wa nyuma halafu unaweza kuchukua lifisi kama hili linajifanya limwanafunzi kumbe li bar maid
Mwanamke ana power ya kukufanya ufungue hata senti ya mwisho uliyokuwa umeificha kwenye mfuko wa ndani ukaiacha familia yako ikilala njaa. Usimdharau mwanamke.