Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Hahahahahaaaaa ina maana sie vimbaombao hatucheat??
Gaga ku-cheat ni tabia ya ki-africa na inaongezeka sana baada ya kujilazimisha kuoa mke mmoja, fanya kautafiti utapata undani wake. ukitaka kujua Mswali ku-cheat yake jadi angalia mpaka kaweka msemo "kitanda hakizai haramu" huo msemo kwa lugha rahisi una maanisha kucheat kwa mwanamke ipo!