Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,118
Mapenzi hayana macho... mwe mwe mwe
Wala masikio.....
Mapenzi hayana macho... mwe mwe mwe
wala pua:dance::dance:Wala masikio.....
wala pua:dance::dance:
Uniwie radhi Michelle hahahahah lol! nilisahau kama Michelle bado ni msichana Ni kweli kabisa hata vijana wanapenda wake zao watumie majina yao lakini kwao wao harusi haitavunjika eti kisa "wife to be" amekataa kubadilisha jina lake la mwisho mara baada ya harusi...lakini kwa wale wa mwaka 47 Mhhhhh! pagumu hapo! ndoa inaweza kabbisa kuvunjika!
Sasa mke mtarajiwa, ndugu, marafiki na jamaa zake watakuwa tayari kuona harusi inavunjika kwa kubadilisha tu jina la mwisho?
Usisahau tena....waweza ninyima riziki bure....l.o.l......waga shida haianzi kabla ya ndoa,ni baada ya ndoa...nani anataka matatizo kabla,ukishaingia huko ndo hasa unaanza kuonyesha msimamo,waweza kuta jamaa anakutafutia sababu,sasa ukileta mdomo na suala la jina akapata sababu ya kukataa kukuoa.....l.o.l
Mhhhh! Mapenzi hayana mdomo wala pua!
Ahaaaa! Kumbe kabla ya ndoa unaminya tu kuhusu kubadilisha jina la mwisho, lakini ndoa ikishafungwa basi hapo ndio vita vya kubadilisha jina vinaanza rasmi!
mimi wangu ka-maintain jina lake (officially).. ila hapa mtaani wanamwita Mrs. Kanyagio.
ila kuna cases ambazo unaongeza jina la mume. for example kama LIZZY surname yake ni KANYAGIO akiolewa na MAKANYAGIO basi nimeona wakiandika LIZZY KANYAGIO-MAKANYAGIO..
yatakuwa yana nini sasa? manake mdomo si ndo tunatumia kusema I LOVE YOU na ku kiss jamani? haya tuambie BAK....mtaalamu,mapenzi yana nini??:dance::dance:
Utaitwa LIZZY FINEST utake usitake sio ombi ni amriIkitokea nikakubali kufungwa pingu sitabadilisha jina langu....
Kuna mama nilimsikia akisema yeye ameshaolewa mara nne...natamani kujua kama anatumia jina lake au anabadilisha kila akiolewa!!!
Yana hisia za ndani zisizoonekana wala kusikika....ndio maana watu wanaweza kudanganyika!!Mhhhh! Michelle mbona unanipa utaalamu nisiokuwa nao jamani!? Utaalamu wa mapenzi na BaK wapi na wapi!? Mie nilikuwa nashangaa tu kauli zilizotolewa na akina Michelle na Lizzy kwamba Mapenzi hayana pua wala mdomo...sasa sijui yana nini! hahahahah lol!
Utaitwa Michelle Finest utake usitake sio ombi ni amriPamoja kwenye hili dearest!!! sioni sababu yeyote ya maana ya kubadilisha jina langu....!!
Hahahha...Lizzy Masa Sipiyu Uporoto Fynest!!Utaitwa LIZZY FINEST utake usitake sio ombi ni amri
Yana hisia za ndani zisizoonekana wala kusikika....ndio maana watu wanaweza kudanganyika!![/QUOTE]
Hayo maneno kwenye rangi yana uzito mkubwa sana kwa sababu sio kila kwenye mapenzi kuna uongo. Ahsante sana Lizzy.
Mhhhh! Michelle mbona unanipa utaalamu nisiokuwa nao jamani!? Utaalamu wa mapenzi na BaK wapi na wapi!? Mie nilikuwa nashangaa tu kauli zilizotolewa na akina Michelle na Lizzy kwamba Mapenzi hayana pua wala mdomo...sasa sijui yana nini! hahahahah lol!
Hehehe!!! Acha tu kesho nitakupa mchapo mzima maana ni balaa lakini salama lol!!!!Hahahha...Lizzy Masa Sipiyu Uporoto Fynest!!
Lolzzz....enhe ukapotelea wapi???