Have a good night honey

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,809
15,059
Hawa wanawake zetu wana changamoto sana. Ukiwa around anajifanya hana time na wewe.

Since last month nimesafiri niko mbali na home. Sasa hivi anaijikosha hatari,kila siku usiku ananitumia hiyo text ya good night honey.na mimi kwa dharau huwa simjibu.

Hivi huwa wana nini hawa?
 
Sasa hapo huelewi nini mkuu?!

Anakuwaga ana miadi na mkulungwa sasa anatoa taarifa mapema kana kwamba analala kumbe ni mda wa kukojozwa
 
Back
Top Bottom