Ndio ujue binadamu hatupendani. Kuwa m-mwenye nyumba ni kama kuwa kiongozi; watu kama hao ndio wakiwa wenyeviti wa vijiji wanawazaba vibao wananchi. Kuna akina mama/baba wazuri vilevile wanawa-treat h/g kama watoto wao....hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
Hi ni kumjenga hofu huyu GK3. Anajaribu kumweka mbali na amana zake ili asije akawa karibu na mzee. Maana ukweli ni kuwa ma-GK3 wakiaanza kupendeza huwa wanapendeza hasa. Mama akiona hivi du! Karoho kanamtoka ile mbaya,,,, anaanza kumpelekapeleka mtoto wa watu,,, na hasa kama mzee ana tabia ya ukipanga,,,, mama lazima awe macho sana na hawa mabinti. Ni mtizamo tu!!!!!!!!!!!!!!!
nampenda binti yangu wa kazi kama mdogo wangu, alikuja mdogo sana mpaka akaolewa na akaenda kijijini kuniletea mdogo wake ambaye nipo nae mpaka sasa, sema kweli wapo wasichana watulivu/wavumilivu sana na kuna wengine machakaramu hawashikiki, kuna wa rafiki yangu alikuwa na tabia ya kumchukua ka kijana wanakuja kulala nae ndani wakati mama/baba wapo kazini na mtoto ni mdogo, mara amfungie mtoto ndani akazurure huko mara katembea na baba mwenye nyumba, vurugu kabisa....
...hivi inakuwaje, mbona kina mama wengi wanawapelekesha puta sana hawa watumishi wa majumbani?
...utakuta matha-hausi wengine wanadiriki hata kuwalamba makofi hawa mabinti, na kashfa nyingi oooh, "ulipokuja hapa ulikuwa umepauka!" mara oooh, "...nipishe huko, usinitie shombo...!" nk nk...
eti, nini tatizo?...
hamuoni huruma hawa mabinti ni uwezo mdogo tu wa maisha ndio wakaamua kufanya kazi hizo? imagine; wao ndio wanaowapikia, kuwalelea watoto, kutunza nyumba mkiwa hampo,... mateso ya nini?
Ni roho mbaya na ukatili waliokuwa nao hao akina mama. Wengi wanawalalia sana hawa mabinti kwa visingizio mbali mbali inapokuja kwenye mishahara na labda wanadhani kuwatisha na kuwanyanyasa kunaweza kuwafanya wasiseme kuhusu kulaliwa huko.
Kama binti hawezi kazi basi muachishe na siyo kumnyanyasa siku nzima kwa matusi, kejeli na wakati mwingine hata vipigo huko ni kukiuka haki za binadamu.
tatizo moja la hawa mabinti ni moja
tunawaseema wamaza lakini hawa wamekuwa nyoka nowdays,,zamani mtu unajitahidi kutuma hadi nauli akifika anaulizia hakuna wahehe jamani,wagogo,wachaga,wakijuana kosa!!!huyo si wako...akikunusuru kaondoka na TV,,kwa hiyo wengi wanafanya kazi kwa malengo yao binfsi wengine wamediriki hadi kuingilia ndoa zetu,,,he Babu hivihivi,,,,,
Tatizo limeanza kwenye tabia ya uvivu tulionao waTanzania wengi. si Hausigeli pekee hata maHausiboi pia wanapata mateso wanapokuwa bado hawajajazia mwili.
nasema hili kwa sababu hawa "wasaidizi wa majumbani" wengi wetu tunawaona ni wafanyikazi za ndani badala ya wasaidizi sasa kazi zote tunawaachia wafanye wao na hatuwasaidii hata kuondosha kijiko kilichoanguka chini ya meza maadam kuna mfanyakazi basi ni kazi yake afanye kazi zote bila kusaidiwa, na ikitokea familia ambayo msaidizi anasaidiwa kazi basi kutokana na tabia hii ya uvivu wa kiTanzania basi naye anaanza kutegea kazi akitarajia kusaidiwa basi matatioz juu ya matatizo yanatokea chanzo UVIVU.
Ni kweli kabisa uhai wa nyumba yako uko mikononi mwa mtumishi wako wa kazi anaweza akakuua au akakunenepesha. Ewe mmama/mbaba unayemnyanyasa msaidizi wako wa ndani jua tu kuwa hutendi haki na pia malipo ni hapahapa duniani.