Hatutashambulia Tanzania ila ziwa lote ni la Malawi

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Oct 31, 2013
2,007
1,893
Rais wa Malawi jana akiongea na waandishi wa habari amesema hana mpango kuingia vita na Tanzania isipokuwa tu kama atavamiwa naye atajitetea.

Pamoja na kusema hayo amesisitiza msimamo wake uleule wa kabla hajachaguliwa kuwa hata kama hana mpango kupigana na Tanzania lakini ziwa lote ni la Malawi hadi kwenye ufukwe wa upande wa Tanzania.

Tanzania haina chake kabisa.

Nilikuwa natafakari, ni kwanini ametoa maneno hayo, na kwamba ati hatapigana vita na Tanzania?

Kwani nani alisema Malawi wana uwezo kupigana vita na Tanzania? na yeye kama kiongozi mkubwa wa serikali ameshatoa tamko, binafsi nategemea viongozi wa Tanzania pia watoe tamko.

Membe toa tamko mapema kushutumu hatua hiyo na kulaani anachokifanya Rais huyu kwenye majukwaa ya siasa wakati suala lipo kwenye usuluhishi. kwani wanafikiri sisi Watanzania hatuna midomo na vyombo vya habari vya kuongelea?

Mungu ibariki Tanzania.

BOFYA HAPA chini

http://www.nyasatimes.com/2014/08/1...issue-non-negotiable/comment-page-2/#comments

http://www.nyasatimes.com/2014/08/0...e-row-to-be-resolved/comment-page-2/#comments

http://www.afriem.org/2014/08/hands-lake-malawi-mutharika-tells-tanzania/

http://malawi24.com/mutharika-coy-on-lake-malawi-row/
 
Tanzania ina jeshi kali sana na Malawi hana ubavu, lakini lazima Tanzania wajuwe Malawi hajasema vile bila kuwa wana target za uhakika. Tanzania kwenda vita na Malawi lazima iweke akilini kuna nchi za jirani yake zitakuwa upande wa Malawi.
 
Rais wa Malawi jana akiongea na waandishi wa habari amesema hana mpango kuingia vita na Tanzania isipokuwa tu kama atavamiwa naye atajitetea.

Pamoja na kusema hayo amesisitiza msimamo wake uleule wa kabla hajachaguliwa kuwa hata kama hana mpango kupigana na Tanzania lakini ziwa lote ni la Malawi hadi kwenye ufukwe wa upande wa Tanzania.

Tanzania haina chake kabisa.

Nilikuwa natafakari, ni kwanini ametoa maneno hayo, na kwamba ati hatapigana vita na Tanzania?

Kwani nani alisema Malawi wana uwezo kupigana vita na Tanzania? na yeye kama kiongozi mkubwa wa serikali ameshatoa tamko, binafsi nategemea viongozi wa Tanzania pia watoe tamko.

Membe toa tamko mapema kushutumu hatua hiyo na kulaani anachokifanya Rais huyu kwenye majukwaa ya siasa wakati suala lipo kwenye usuluhishi. kwani wanafikiri sisi Watanzania hatuna midomo na vyombo vya habari vya kuongelea?

Mungu ibariki Tanzania.

Anajitutumua ili aonekane anafanya kazi. Muacheni ajishaue shaue
 
Malawi hawataweza kututisha hata mara moja. Wasubirie kuja kuwa wakimbizi
 
The Late Kamuzu Banda, alitaka kuchukua ziwa lote na sehemu za Mbinga na Kyela, lakini hakuthubutu mbele ya Mwl. Julias K. Nyerere.

Huyu Prof anafuata sera za Bi Joy? Anasema no negotiation? Najua viongozi wetu na jeshi letu wapo makini kulinda mipaka ya Tz.

Wasimguse hata mvuvi mmoja wa Tz atakayefika katikati ya ziwa kwani ndo mpaka ulipo
 
Rais wa Malawi jana akiongea na waandishi wa habari amesema hana mpango kuingia vita na Tanzania isipokuwa tu kama atavamiwa naye atajitetea.

Pamoja na kusema hayo amesisitiza msimamo wake uleule wa kabla hajachaguliwa kuwa hata kama hana mpango kupigana na Tanzania lakini ziwa lote ni la Malawi hadi kwenye ufukwe wa upande wa Tanzania.

Tanzania haina chake kabisa.

Nilikuwa natafakari, ni kwanini ametoa maneno hayo, na kwamba ati hatapigana vita na Tanzania?

Kwani nani alisema Malawi wana uwezo kupigana vita na Tanzania? na yeye kama kiongozi mkubwa wa serikali ameshatoa tamko, binafsi nategemea viongozi wa Tanzania pia watoe tamko.

Membe toa tamko mapema kushutumu hatua hiyo na kulaani anachokifanya Rais huyu kwenye majukwaa ya siasa wakati suala lipo kwenye usuluhishi. kwani wanafikiri sisi Watanzania hatuna midomo na vyombo vya habari vya kuongelea?

Mungu ibariki Tanzania.

Professor Mutharika nio wa kupuuza tu maana bado ana mchecheto wa kuukwaa Urais! na hakuna haja ya Membe kupoteza muda wake kumjibu; juzi tu pale Wasington DC kamualika JK aende malawi wakale samaki wa ziwa Nyasa pamoja sasa hayo matambo kweli yanatengeneza mazingira mazuri ya kumfanya JK aende kula samaki na Mutharika?!

Membe Camilius; ignore Mutharika's statement with all the contempt that it deserves.
 
Wabongo tumejiandaa kupata kipigo kikali kutoka Malawi. Bora tuwe wapole kwa kukaa kimya.
 
Kuna muda ambao najikuta nacheka sana pale mtt anapo mpiga m2 mzima.

.made in mby city.
 
Kama jambo lipo kwenye usuluhishi si vizuri kiongozi mkubwa wa nchi kuanza kuropoka ropoka na ku hallucinate kama anauyofanya huyu Muthalika. Ni kuwadharau wale wazee wasuluhishi. By the way,hivi anajua zile Amphibious Type 63A tumezinunua za nini?
 
Hebu taja nchi ya jirani na Malawi hata moja ambayo haina urafiki wa damu na Tanzania. Ukiipata nakurushia 10,000/=
Tanzania ina jeshi kali sana na Malawi hana ubavu, lakini lazima Tanzania wajuwe Malawi hajasema vile bila kuwa wana target za uhakika. Tanzania kwenda vita na Malawi lazima iweke akilini kuna nchi za jirani yake zitakuwa upande wa Malawi.
 
Back
Top Bottom