Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Ya 1980 ni ya kukodi, 2016 ni mali ya wananchiUnaenda mbele?au unarudi nyuma? Au Unaenda mbele kinyumenyume?
Anakimbiaa...huyo twiga wa chini mbona kama kapinda mgongo??
Kwenye ndege inayoruka? Hapana arudishwe yule yule wa zamani, kama alikuwa hawezi kuchora si angesema tuAnakimbiaa...
Anaficha uso wake...anaona aibu kaka. Anatamani mara kumi angepandishwa meli...hivi hatuna meli kwani?huyo twiga wa chini mbona kama kapinda mgongo??