Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Pole mpenzi na sorry kwa kuchelewa kuitika wito nilikuwa nakoroma mwe:smile-big::smile-big::smile-big:...Inabidi ujitoe mhanga sasa bi shost jiweke fresh vaa ile sexy lingerie au mtandio wa dera :A S tongue🙁nimejifunza kitu kipya mwe),jifukize udi kisha mfate kama alivyosema @olesaidimu au ikiwezekana mtumie sms mwambie aje chumbani kuna zawadi yake mweJana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?
Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha
Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc
Mambo ya kuch kuch hotae hayo!!Ennie unafanana na mimi! I hate to be free....... napendwa kufatwafatwa, kuonewa wivu lakini kwa yule naempenda lol!
hahaha basi nafuta kauli ..... kuna watu huko mtaani wanajiuliza watampata lini OLESAIDIMU
Unaishi kwa tetesi?
Ndio maana mnanuna nuna hovyo
OLESAIDIMU na Ennie mbona mnatongozana kwenye uzi za wenzenu? go PM huko hatawaona mtu
Mtu mzina anatongozwa au anaambiwa nia tu na kujadili logistics???!!!!
Au ndio maana umekataliwa asubuhi Sista sababu ulianza kuimbisha mtu kavaa boxer tu????!!!!!
Pole mpenzi na sorry kwa kuchelewa kuitika wito nilikuwa nakoroma mwe:smile-big::smile-big::smile-big:...Inabidi ujitoe mhanga sasa bi shost jiweke fresh vaa ile sexy lingerie au mtandio wa dera :A S tongue🙁nimejifunza kitu kipya mwe),jifukize udi kisha mfate kama alivyosema @olesaidimu au ikiwezekana mtumie sms mwambie aje chumbani kuna zawadi yake mwe
Lakini hakikisha amekula lunch na dinner iwe nzuri mpenzi sawa.... akienda kuoga mfuate alafu mfanye kwa nguvu
ukisikia kiu unatakiwa uyafate maji bombani hayajileti ati :smile-big:Lucky you! !!!
Mwenzio tangu swalaa kaachama mdomo lakini waaapi hata maji ya kukatia kiu bado kupewa!!!
Lucky you! !!!
Mwenzio tangu swalaa kaachama mdomo lakini waaapi hata maji ya kukatia kiu bado kupewa!!!
ha ha ha ha mbona unakuwa hivyo? kwenye ndoa haturuhusiwi kulala na boxer. tunaziona kama suruali au nguo zingine
Ikiitwa clue unaona ndio ya maana eeenh!!!!!
Subiri mpaka mtego wa kunasiana ndio utajua kuwa quickie ni penzi au mashtuzi tuu!!!!
Nakucheka sababu mjanja maneno kibao ila umeshindwa kumgegedesha huyo mtu hapo!!!!!?????mimi49 nashukuru kwa kujali. nakuonea wivu uko fresh. achana na huyu OLESAIDIMU leo kaamka kama amekunywa juice ya ndimu