imagine alfajili saa kumi na moja i tried kumpapasa kiuno ili nimvute karibu yangu kanitolea nje na ameamka yupo serious kama mgambo wa jiji
Mbona ndio dawa..ennie unajifanya na wewe pia utaki..mimi 2yrs back nilikuwa naona kama siwezi kuishi bila yeye siku alinifanyia tukio hilo sintokaa nisahau.nililia sana aikusaidia nikaja nikaona mbona nife na bado nataka kuishi.nikasema ngoja nimwache akichoka ataacha mikausho siulizi uko wapi na unarudi muda gani..mbona aliacha moyoni namwambia hapa panaitwa mtakuja..
Najivuia Education is sexy. hata humu ndani juna PHD za mapenzi
Kinyaa?!!
Lugha yako sijaipenda
Sasa tetesi zinasoma na dalili zinaonesha unagegedwa nje nikipiga mikausho unikalie uchi hapo unantia kinyaa tu full stop.
Haina bold wala italic!!!!
Sasa tetesi zinasoma na
dalili zinaonesha unagegedwa nje nikipiga mikausho unikalie uchi hapo
unantia kinyaa tu full stop.
Haina bold wala italic!!!!
Jana na juzi mume wangu karudi na kisirani. simwelewi nimemuudhi mimi au kaudhiwa huko alikotoka. kanuna tuuu. nikimsemesha anajibu kiaina kama analazimishwa. chakula mezani anaonjaonja kidogo anaacha. haki yangu yangu ya unyumba kanipa jana kwa kubip kama anatwanga mahindi kwenye kinu wala sijafika popote...mmxxiu...&%# masikini kiu yangu iko palepale. alfajili ya leo nimemshika kiuno kumgeuzia kwangu anigegede kagoma ajifanya kazidiwa na usingizi. nimfanyeje. hiv wanaume wengine wakoje?
Sasa atanikoma, simuulizi wala nini mbona ananiletea mambo ya kitoto? Basi na mie leo nitakuwa bize kama hayupo vile... ijumaa, jumamosi na leo jumapili mh this is too much!!! na mie naweka pose nitacomment thread zote na kuchat JF leo siku nzima nijiweke bize. hadi PM nitajiachia kama sina akili nzuri vile. Thax Mods for MMU najua mates hawataniacha
Smile Nyani Ngabu Heaven on Earth Washawasha sister Mzizi mkavu nipe ushauri wa kitabibu if possible Broken soul mimi49 Mrembo by Nature watu8 mwekundu miss chagga tinna cute Simplicity Eiyer etc
Ngoja niamue tu ku assume kuwa hili ni kweli
Unadhani sifa ya kuwa mke ni nini?
Kama unashindwa kung'amua tatizo lilipo unadhani una sifa ya kuitwa mke wewe?
Kama mumeo ameshindwa kuwa na busara katika lililomsibu nawe kwanini unaamua kufanya makosa yaleyale?
Kama mtu anapokuwa na tatizo lililofanya ashindwe kufikiri vyema,iweje wewe ushindwe kumsaidia wakati wewe ni mkewe?
Nyie ndio wake wa kuolewa kweli?
Ngoja ni report abuse!
Sikujua natongozwa mie!!
Lol nimechekaje!!!Mkoroshokigoli kama hujaingia kwenye ndoa bora umpate wa humu MMU maana amepikika anajua challenges zote