Hatuongei siku ya tatu leo

Status
Not open for further replies.
imagine alfajili saa kumi na moja i tried kumpapasa kiuno ili nimvute karibu yangu kanitolea nje na ameamka yupo serious kama mgambo wa jiji

Hahaha..usinichekeshe. Cha asubuhi kilivyo kitamu anatimka kama mgambo wa jiji?!

Lazima kuna kitu inamsumbua katika brain yake. Ongea naye taratibu utajua tu.
 


Nimekupenda bure! Akikuona wa nini muone wa kazi gani[/QUOTE]
Sawasawa..
 
Natumaini hajatoka kwa nyumba ndogo, halafu akajinunisha kwako
 
Kinyaa?!!
Lugha yako sijaipenda

Sasa tetesi zinasoma na dalili zinaonesha unagegedwa nje nikipiga mikausho unikalie uchi hapo unantia kinyaa tu full stop.

Haina bold wala italic!!!!
 
Vipi jamaa bado amenuna au ameshakugalagaza?

hapa ndio mtakuja. nje kuna dalili ya mvua, atakuja mwenyewe nimblasitisheeee mpaka ajute kukosa cha asubuhi tena jumapili hatuna haraka ya kuwahi kazini
 
Sasa tetesi zinasoma na dalili zinaonesha unagegedwa nje nikipiga mikausho unikalie uchi hapo unantia kinyaa tu full stop.

Haina bold wala italic!!!!

OLESAIDIMU na Ennie mbona mnatongozana kwenye uzi za wenzenu? go PM huko hatawaona mtu
 
Last edited by a moderator:
Sasa tetesi zinasoma na
dalili zinaonesha unagegedwa nje nikipiga mikausho unikalie uchi hapo
unantia kinyaa tu full stop.

Haina bold wala italic!!!!

Unaishi kwa tetesi?
Ndio maana mnanuna nuna hovyo
 

Ngoja niamue tu ku assume kuwa hili ni kweli

Unadhani sifa ya kuwa mke ni nini?
Kama unashindwa kung'amua tatizo lilipo unadhani una sifa ya kuitwa mke wewe?
Kama mumeo ameshindwa kuwa na busara katika lililomsibu nawe kwanini unaamua kufanya makosa yaleyale?
Kama mtu anapokuwa na tatizo lililofanya ashindwe kufikiri vyema,iweje wewe ushindwe kumsaidia wakati wewe ni mkewe?

Nyie ndio wake wa kuolewa kweli?
 

Yaani Eiyer hujaona juhudi nilizofanya kutaka kumrudisha kwenye mood? najiamini ni mke mwema ndio maana nikamwomba tu-do alfajili ndio muda muafaka tungezungumza yetu. inauma sana unapoomba kudoo mwenzio anagoma.
 
Last edited by a moderator:
watu8 mbona hivyo jamani? umeamka pekeyako leo? toa ushauri hayo ya fursa sio muda wake

Anyway...just give him some space kidogo tu, ila usiwe mbali naye kama unavyotaka kufanya.
 
Last edited by a moderator:
Sista naona umeanza kupunguza kasi...usiendelee kumkera kuchat sana..kwanza umepika??
 
Last edited by a moderator:
Anyway...just give him some space kidogo tu, ila usiwe mbali naye kama unavyotaka kufanya.

sawa namsikilizia mpaka jioni. nikiona vipi namwambia anisindikize nikamnunulie samaku coco beach. may be huko tutachat na kuelewana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…