Hivi Kafulila na Mbatia wapo tofauti?Mbona Kafulila ambaye ni katibu mwenezi alishatoa msimamo wa Nccr?Kauli ya Kafulila ilikuwa nzito kuliko kauli ya Mbatia!Labda kama Mbatia hana imani na Katibu mwenezi! .Mbatia anasema hana imani na CCM kwani hapo mwanzo alikuwa na imani na CCM?M.kiti wa chama cha nccr mageuzi amekutana na wandishi wa habari kutangaza msimamo wa chama chake kuwa hakiko tayari kwa mazungumzo na serikali ya kifisadi ya ccm wala rais wake jk katika suala zima la katiba. Huo ndio msimamo wa mbatia. Ameamua kula moto na ccm na serikali kwelikweli. Wandishi walibaki tunashangaa kaama kweli huyu ndiye mbatia tulimjua? Mabadiliko haya ya ghafla kulikoni?