Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Hatujifunzi, hatujifunzi na hizi ajali na maafa makubwa? Sisi ni kenge? Hadi tuone damu masikioni ndio tusikie maumivu?
Kama kweli serikali hii ingelikuwa sikivu, ingelisikiliza Hoja za mbunge wa Ukerewe (CHADEMA) Joseph Mkundi wakati akiomba kivuko cha Ukerewe ~ Ukara, aliomba hadi kusikia kauli ya serikali.
Nafikiri kilichomponza ni yeye kuwa mbunge wa CHADEMA, hawakumsikia. Alitahadhirisha uchakavu wa kivuko hicho. Akisema watakuja kuomba rambirambi bungeni, kweli kimezama, na watu wamepoteza maisha.
Wakati serikali hii ikitumia Pesa nyingi sana kununua ndege na kujenga miradi mikubwa kwa fedha za nje za kukopa kwa Riba, imeshindwa kutambua umuhimu wa kulinda usalama wa raia na mali zao. Imewekeza kwenye 'vitu' kuliko 'watu'
Niwaulize tu enyi wafuasi wa CCM; Huo muda ambao mnatumia kusema "MBOWE OUT" kwanini msingeutumia kumshauri JIWE afanye kitu kwenye kitengo cha maafa ofisi ya waziri mkuu? Yaani waokoaji wanatumia mitumbwi karne ya 21?
.kweli hata baada ya teknolojia kuwa kubwa, ulimwengu kupiga hatua, Tanzania imekosa vifaa vya uokoaji? Kwamba Mkuu wa mkoa wa Mwanza anatoa amri ya kuhairisha uokoaji wa majeruhi na uopoaji marehemu kisa "GIZA?" hivyo tusubiri 'JUA' litokeze?
Ajali nyingine zinazuilika. Hii ni ajali ya kizembe. Mbunge ameomba sana kuletewa kivuko kingine au kurekebisha kilichopo, ameomba hadi kauli ya serikali bungeni. Serikali ikaweka Pamba masikioni. Kwamba mmeshindwa kuokoa watu 150M away from the land? Hakuna 'service occurrence boats?' Kazi yenu kununua madiwani tu..
Ajali ya Mv Spice Islander (Nungwi) mwaka 2011 hawa TBC walikuwa wanaonesha Taarabu huku wengine wa~kicover `story` ya ajali. Ajali hii ya Mwanza Millard Ayo walikuwa Live wakati TBC wapo bize na safari ya Dodoma. Miaka 22 baada ya ajali ya MV Bukoba yanatokea yale~yale
Nchi yetu bado ipo kwenye rehearsal! Hatujawa serious bado! Halafu kuna 'defenders of the weaknesses' ndio kisanga.. Nchi ina tatizo pia la 'Passanger Manifest' tangu 2011 ajali ya Nungwi, hatujui idadi kamili ya watu waliopoteza maisha. Hata hii ajali ni dana~dana tu.
Unaweza kumwaga Matusi, ukaonekana hauna maadili wakati mwingine.. Hapo baada ya muda, JIWE anakwenda Ukerewe, bila kutambua yeye ni 'comforter in chief' anawaambia wafiwa "SIJALETA MIMI HUYO AJALI, AJALI SIO YANGU, TUFANYE KAZI"
They never learn from their mistakes; Diving suit ni kama $40; Headlamps ni kama $10; Vifaa vingine pia vinaweza pelekea hadi $100; Hiyo pesa HAKUNA kwenye ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa [PMNRF~Prime Minister's National Relief Fund]
Nimezidi kupata sababu ya kuwachukia wakoloni hawa; Watu wanapata ajali 150M away from the land, wanazama kwenye maji, saa saba mchana, wajinga wanahairisha uopoaji na uokoaji kwenye ajali hadi kesho tena. Kweli? Hii serikali yenu mufilisi. Kazi kununua 'mindege' tu.
Wajinga wamesitisha uokoaji sababu ya giza. Yaani wamekwenda kulala. Afadhali hata wangebaki Eneo la tukio na 'tochi' zao. Kwamba waliokuwa hai waendelee kusubiri 'pakuche' waokolewe? Hii nchi alieturoga alikua na mtu katili sana..
Mkuu wa mkoa, RPC, mkuu kamandi ya JWTZ, yaani mmepata kabisa usingizi baada ya kuhairisha zoezi la uokoaji na uopoaji sababu ya giza? Au kwa sababu kwenye kivuko hakuna dada, kaka, wake na watoto wenu? Kungelikuwa na "Jesca" humo ndani zoezi lingesimamishwa kweli hadi 'pakuche?'
Unakwenda kulala, unapata usingizi, wakati kuna 'mamia' ya watanzania unaowahudumia wapo ndani ya maji? Wewe mkuu wa mkoa, Mkuu wa bandari, Msimamizi wa bandari, hamtakiwi hata kwa kuelekezwa cha kufanywa, hamtakiwi kuwa ofisini. Kwetu kule Korea Kaskazini tungelijua cha kuwafanya.
Kwamba raia wamelala kwenye maji Ziwani, wakisuburi uokoaji Jua likiwaka? Yaani kama kuna mwamba alikuwa hai, amesubiri, ametulia kwenye maji hadi Jua limewaka maana hakuna Mwanga wa kumulika... SHUBAAMITI, Crooked country!
Kazi ya mfuko wa maafa? Idara ina kazi gani?
Tangu wakati wa MV Spice, baadae mafuriko na Tetemeko, ipi kazi ya Prime Minister's National Relief Fund ~ PMNRF? Tanzania has developed a National Disaster Policy; The document was approved by the GoT in April, 2004.
There is a standing Legislation which was enacted 1990 to deal with relief referred to as 'The Disaster Relief Coordination Act, 1990'. A draft Legislation to amend the 1990 has been prepared, so that it covers all aspects of disaster mitigation, preparedness, response and recovery
Pamoja na kwamba ni jambo jema sana kuwachangia wahanga wa matukio kama haya (Mfano Kagera), lakini ni wazi tumedhihirisha hatuna 'Disaster Preparedness strategy' kabisaa katika nchi yetu. Nchi ina kitengo cha kushughulikia masuala kama haya, tena kitengo kipo kisheria...
Ni hatari sana kusubiri janga litokee ndio tuanze kuchangishana fedha na kupambana na janga, michango inapaswa kuwa nyongeza tu sio tegemezi. (serikali ilipaswa kuwa na mfuko wa kushughulikia matukio na majanga kama haya).
Tunapaswa kujifunza sana kupitia _*The United States President's Emergency Plan for AIDS Relief*_.. (tunapaswa kujifunza upya masuala haya ya _*Disaster and risk management circle*_, kama taifa tuko _shallow indeed_
Mfano kule kwenye tetemeko la ardhi Kagera, Kitengo cha maafa kilipaswa kuwa kimeanza kuwajibika tangu siku ya kwanza.. (hivi.. Kitengo hiki cha maafa hakitengewi bajeti kabisaa!!?)
Kila siku nasisitiza, ile idara ya uratibu wa maafa chini ya ofisi ya waziri mkuu, ifanywe kuwa wakala, ili ipate uwezo wa kutengewa fedha, iwe taasisi inayojitegemea, iweze kushughulikia matatizo kama haya mara tu yanapotokea.
Unaweza kumwaga Matusi, ukaonekana hauna maadili.. Hapo baada ya muda, JIWE anakwenda Ukerewe Kwenye mkutano wa hadhara, bila kutambua yeye ni 'comforter in chief' anawaambia wafiwa "SIJALETA MIMI HIYO AJALI, AJALI SIO YANGU, TUFANYE KAZI"
Mnasubiri kutuomba 'rambirambi' halafu 'mzitakase' kama za Mafuriko. SHUBAAMITI! Hatuchangiii.
#MMM, Martin Maranja Masese
Kama kweli serikali hii ingelikuwa sikivu, ingelisikiliza Hoja za mbunge wa Ukerewe (CHADEMA) Joseph Mkundi wakati akiomba kivuko cha Ukerewe ~ Ukara, aliomba hadi kusikia kauli ya serikali.
Nafikiri kilichomponza ni yeye kuwa mbunge wa CHADEMA, hawakumsikia. Alitahadhirisha uchakavu wa kivuko hicho. Akisema watakuja kuomba rambirambi bungeni, kweli kimezama, na watu wamepoteza maisha.
Wakati serikali hii ikitumia Pesa nyingi sana kununua ndege na kujenga miradi mikubwa kwa fedha za nje za kukopa kwa Riba, imeshindwa kutambua umuhimu wa kulinda usalama wa raia na mali zao. Imewekeza kwenye 'vitu' kuliko 'watu'
Niwaulize tu enyi wafuasi wa CCM; Huo muda ambao mnatumia kusema "MBOWE OUT" kwanini msingeutumia kumshauri JIWE afanye kitu kwenye kitengo cha maafa ofisi ya waziri mkuu? Yaani waokoaji wanatumia mitumbwi karne ya 21?
.kweli hata baada ya teknolojia kuwa kubwa, ulimwengu kupiga hatua, Tanzania imekosa vifaa vya uokoaji? Kwamba Mkuu wa mkoa wa Mwanza anatoa amri ya kuhairisha uokoaji wa majeruhi na uopoaji marehemu kisa "GIZA?" hivyo tusubiri 'JUA' litokeze?
Ajali nyingine zinazuilika. Hii ni ajali ya kizembe. Mbunge ameomba sana kuletewa kivuko kingine au kurekebisha kilichopo, ameomba hadi kauli ya serikali bungeni. Serikali ikaweka Pamba masikioni. Kwamba mmeshindwa kuokoa watu 150M away from the land? Hakuna 'service occurrence boats?' Kazi yenu kununua madiwani tu..
Ajali ya Mv Spice Islander (Nungwi) mwaka 2011 hawa TBC walikuwa wanaonesha Taarabu huku wengine wa~kicover `story` ya ajali. Ajali hii ya Mwanza Millard Ayo walikuwa Live wakati TBC wapo bize na safari ya Dodoma. Miaka 22 baada ya ajali ya MV Bukoba yanatokea yale~yale
Nchi yetu bado ipo kwenye rehearsal! Hatujawa serious bado! Halafu kuna 'defenders of the weaknesses' ndio kisanga.. Nchi ina tatizo pia la 'Passanger Manifest' tangu 2011 ajali ya Nungwi, hatujui idadi kamili ya watu waliopoteza maisha. Hata hii ajali ni dana~dana tu.
Unaweza kumwaga Matusi, ukaonekana hauna maadili wakati mwingine.. Hapo baada ya muda, JIWE anakwenda Ukerewe, bila kutambua yeye ni 'comforter in chief' anawaambia wafiwa "SIJALETA MIMI HUYO AJALI, AJALI SIO YANGU, TUFANYE KAZI"
They never learn from their mistakes; Diving suit ni kama $40; Headlamps ni kama $10; Vifaa vingine pia vinaweza pelekea hadi $100; Hiyo pesa HAKUNA kwenye ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa [PMNRF~Prime Minister's National Relief Fund]
Nimezidi kupata sababu ya kuwachukia wakoloni hawa; Watu wanapata ajali 150M away from the land, wanazama kwenye maji, saa saba mchana, wajinga wanahairisha uopoaji na uokoaji kwenye ajali hadi kesho tena. Kweli? Hii serikali yenu mufilisi. Kazi kununua 'mindege' tu.
Wajinga wamesitisha uokoaji sababu ya giza. Yaani wamekwenda kulala. Afadhali hata wangebaki Eneo la tukio na 'tochi' zao. Kwamba waliokuwa hai waendelee kusubiri 'pakuche' waokolewe? Hii nchi alieturoga alikua na mtu katili sana..
Mkuu wa mkoa, RPC, mkuu kamandi ya JWTZ, yaani mmepata kabisa usingizi baada ya kuhairisha zoezi la uokoaji na uopoaji sababu ya giza? Au kwa sababu kwenye kivuko hakuna dada, kaka, wake na watoto wenu? Kungelikuwa na "Jesca" humo ndani zoezi lingesimamishwa kweli hadi 'pakuche?'
Unakwenda kulala, unapata usingizi, wakati kuna 'mamia' ya watanzania unaowahudumia wapo ndani ya maji? Wewe mkuu wa mkoa, Mkuu wa bandari, Msimamizi wa bandari, hamtakiwi hata kwa kuelekezwa cha kufanywa, hamtakiwi kuwa ofisini. Kwetu kule Korea Kaskazini tungelijua cha kuwafanya.
Kwamba raia wamelala kwenye maji Ziwani, wakisuburi uokoaji Jua likiwaka? Yaani kama kuna mwamba alikuwa hai, amesubiri, ametulia kwenye maji hadi Jua limewaka maana hakuna Mwanga wa kumulika... SHUBAAMITI, Crooked country!
Kazi ya mfuko wa maafa? Idara ina kazi gani?
Tangu wakati wa MV Spice, baadae mafuriko na Tetemeko, ipi kazi ya Prime Minister's National Relief Fund ~ PMNRF? Tanzania has developed a National Disaster Policy; The document was approved by the GoT in April, 2004.
There is a standing Legislation which was enacted 1990 to deal with relief referred to as 'The Disaster Relief Coordination Act, 1990'. A draft Legislation to amend the 1990 has been prepared, so that it covers all aspects of disaster mitigation, preparedness, response and recovery
Pamoja na kwamba ni jambo jema sana kuwachangia wahanga wa matukio kama haya (Mfano Kagera), lakini ni wazi tumedhihirisha hatuna 'Disaster Preparedness strategy' kabisaa katika nchi yetu. Nchi ina kitengo cha kushughulikia masuala kama haya, tena kitengo kipo kisheria...
Ni hatari sana kusubiri janga litokee ndio tuanze kuchangishana fedha na kupambana na janga, michango inapaswa kuwa nyongeza tu sio tegemezi. (serikali ilipaswa kuwa na mfuko wa kushughulikia matukio na majanga kama haya).
Tunapaswa kujifunza sana kupitia _*The United States President's Emergency Plan for AIDS Relief*_.. (tunapaswa kujifunza upya masuala haya ya _*Disaster and risk management circle*_, kama taifa tuko _shallow indeed_
Mfano kule kwenye tetemeko la ardhi Kagera, Kitengo cha maafa kilipaswa kuwa kimeanza kuwajibika tangu siku ya kwanza.. (hivi.. Kitengo hiki cha maafa hakitengewi bajeti kabisaa!!?)
Kila siku nasisitiza, ile idara ya uratibu wa maafa chini ya ofisi ya waziri mkuu, ifanywe kuwa wakala, ili ipate uwezo wa kutengewa fedha, iwe taasisi inayojitegemea, iweze kushughulikia matatizo kama haya mara tu yanapotokea.
Unaweza kumwaga Matusi, ukaonekana hauna maadili.. Hapo baada ya muda, JIWE anakwenda Ukerewe Kwenye mkutano wa hadhara, bila kutambua yeye ni 'comforter in chief' anawaambia wafiwa "SIJALETA MIMI HIYO AJALI, AJALI SIO YANGU, TUFANYE KAZI"
Mnasubiri kutuomba 'rambirambi' halafu 'mzitakase' kama za Mafuriko. SHUBAAMITI! Hatuchangiii.
#MMM, Martin Maranja Masese