VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Kauli mbiu ya Miaka hamsini ya Uhuru wa Tanganyika ni danganya toto na ni uongo wa mchana. Jinsi mambo yalivyo kwa ujumla wake,si uhaini kuwalisha watu kauli mbiu kama hii?
Kauli mbiu ya Miaka hamsini ya Uhuru wa Tanganyika ni danganya toto na ni uongo wa mchana. Jinsi mambo yalivyo kwa ujumla wake,si uhaini kuwalisha watu kauli mbiu kama hii?
Waliotunga kauli mbiu wana akili na ina mantiki sana kwa mazingira yetu ya sasa. Inategemea tu unaiangalia kutoka kwenye muktadha upi. Mfano nikisema kuwa waliotunga walikuwa na maana: Tumethubutu kufisidi nchi, tumeweza na sasa tunasonga mbele nitakuwa nimekosea? Au tumethubutu kuchakachua uchaguzi, tumeweza na tunasonga mbele - yaani kuchakachua kwa kwenda mbele.
Unataka kuniambia Serikali inatumia Mabillioni ya pesa kueneza kitu cha uongo??Kauli mbiu ya Miaka hamsini ya Uhuru wa Tanganyika ni danganya toto na ni uongo wa mchana. Jinsi mambo yalivyo kwa ujumla wake,si uhaini kuwalisha watu kauli mbiu kama hii?
Ndio maana yake..Unataka kuniambia Serikali inatumia Mabillioni ya pesa kueneza kitu cha uongo??
Unataka kuniambia Serikali inatumia Mabillioni ya pesa kueneza kitu cha uongo??
kuna kauli mbiu yeyote toka aingie madarakani ime-work positively???
Kauli mbiu ya Miaka hamsini ya Uhuru wa Tanganyika ni danganya toto na ni uongo wa mchana. Jinsi mambo yalivyo kwa ujumla wake,si uhaini kuwalisha watu kauli mbiu kama hii?
Mmmh!!..... bangi mbaya! Nakupa ushauri wa bure, IACHE. Ukiacha utajua Kauli Mbiu hiyo ina maana gani.