Hatujapoa ya mtoto wa Mombo yanakuja ya Abduli

Hatujapoa ya mtoto wa Mombo yanakuja ya Abduli

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,335
Reaction score
6,458
Binadamu ni wabinafsi sana. Kuna watu wanafanya mambo utadhani wataishi milele hapa duniani. Tukiwa hatujapoa na ile ya mtoto wa Mombo kutuoneshea dole la kati akiwa kabeba maburungutu ya madorali.

Mtoto wa Rais ananunua vigae vya ujenzi amounting to 2.4 billioni. Hakika siye wengine ni wasindikizaji.

Inaonyesha inchi inapesa nyingi ila zinahodhiwa na wachache.
 
Binadamu ni wabinafsi sana. Kuna watu wanafanya mambo utadhani wataishi milele hapa duniani. Tukiwa hatujapoa na ile ya mtoto wa Mombo kutuoneshea dole la kati akiwa kabeba maburungutu ya madorali , Mtoto wa Rais ananunua vigaa vya ujenz amounting to 2.4 billioni. Hakika siye wengine ni wasindikizaji.

Inaonyesha inchi inapesa nyingi ila zinahodhiwa na wachache.
Hatutiki
 
FB_IMG_17588819121040861.jpg
 
Bibie kashika Dola laki 3 anawanyoshea dole la kati ...kwamba mnapigwa hiii nyie...😂😂😂
Ila naskia binti kaathirika na mitusi na laana naskia alitaka kujiua
 
Tanganyika ikishakombolewa, CAG anapaswa apewe mamlaka ya kuwashtaki wote wanaobadhilifu fedha za bajeti sio kutuletea ripoti za kiseng3e bila kuchukua hatua.
 
Samia hafai kuwa rais. Tukimuacha apate 5 tena, nchi itauzwa hii.
Na ninaomba akishinda aiuze yote kabisa maana Watanzania ni wapumbavu sana.

Kuna majitu yako huko vijijini yanavimba na baiskeli za Samia. Mengine yako kwenye Vyombo muhimu yanakwambia yanalindan kiapo chao kwa Amri Kiemba sijui Amri Said Jeshi Mkuu.
 
Back
Top Bottom