Hatujachelewa, tukaeni tupate muafaka wa kitaifa

Hatujachelewa, tukaeni tupate muafaka wa kitaifa

Kwakivesa

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2016
Posts
284
Reaction score
401
Ndugu zangu watanzania.
Nipende tu kuwakumbusha kwamba hali ya kisiasa kwa sasa sio nzuri. Kwa wanasiasa watafikiri ni kwa sababu ya uchaguzi, lakini ukiangalia kwa jicho la tatu uchaguzi sio hoja sana.

Kuna haja ya kukaa kama Taifa na kuiangalia vizuri katiba yetu na kuirekebisha kwa sasa kabla hatujagawanyika sana bila kujali vyama vyetu na maslahi ya Taifa.

Tukaeni turekebishe mambo tukiwa wamoja;tusisubiri mabaya zaidi.
 
Ndugu zangu watanzania.
Nipende tu kuwakumbusha kwamba hali ya kisiasa kwa sasa sio nzuri.Kwa wanasiasa watafikiri ni kwa sababu ya uchaguzi,lakin ukiangalia kwa jicho la tatu uchaguzi sio hoja sana.
Kuna haja ya kukaa kama Taifa na kuiangalia vizuri katiba yetu na kuirekebisha kwa sasa kabla hatujagawanyika sana bila kujali vyama vyetu na maslahi ya Taifa.
Tukaeni turekebishe mambo tukiwa wamoja;tusisubiri mabaya zaidi.
Kwa huyu hamna kitu
 
Ndugu zangu watanzania.
Nipende tu kuwakumbusha kwamba hali ya kisiasa kwa sasa sio nzuri.Kwa wanasiasa watafikiri ni kwa sababu ya uchaguzi,lakin ukiangalia kwa jicho la tatu uchaguzi sio hoja sana.
Kuna haja ya kukaa kama Taifa na kuiangalia vizuri katiba yetu na kuirekebisha kwa sasa kabla hatujagawanyika sana bila kujali vyama vyetu na maslahi ya Taifa.
Tukaeni turekebishe mambo tukiwa wamoja;tusisubiri mabaya zaidi.
Asali tamu ww, ccm wanawaza kura tu
 
No reforms no elections
 
Ndugu zangu watanzania.
Nipende tu kuwakumbusha kwamba hali ya kisiasa kwa sasa sio nzuri.Kwa wanasiasa watafikiri ni kwa sababu ya uchaguzi,lakin ukiangalia kwa jicho la tatu uchaguzi sio hoja sana.
Kuna haja ya kukaa kama Taifa na kuiangalia vizuri katiba yetu na kuirekebisha kwa sasa kabla hatujagawanyika sana bila kujali vyama vyetu na maslahi ya Taifa.
Tukaeni turekebishe mambo tukiwa wamoja;tusisubiri mabaya zaidi.
hakuna haja ya upotoshaji gentleman.
Kama Taifa, hali ya kisiasa ni nzuri sana na inayositawi na kushamiri kila uchwao hasa kipindi hiki Taifa linapoelekea kwenye uchaguzi wa kihistoria October mwaka huu 2025.

vibaka na matapeli wa kisiasa waropokaji nchini, kamwe hawawezi kuzuia uchaguzi wala kuyumbisha umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutafuta kiki kipotoshaji gentleman 🐒
 
Hili jambo liko sahihi sana

Ata ukiwa kwenye ndoa, NO REFORM, NO ERECTION
 
Ndugu zangu watanzania.
Nipende tu kuwakumbusha kwamba hali ya kisiasa kwa sasa sio nzuri. Kwa wanasiasa watafikiri ni kwa sababu ya uchaguzi, lakini ukiangalia kwa jicho la tatu uchaguzi sio hoja sana.

Kuna haja ya kukaa kama Taifa na kuiangalia vizuri katiba yetu na kuirekebisha kwa sasa kabla hatujagawanyika sana bila kujali vyama vyetu na maslahi ya Taifa.

Tukaeni turekebishe mambo tukiwa wamoja;tusisubiri mabaya zaidi.
umeongea vyema kwani nchi yetu sote hii na haina hati miliki ya kundi lolote

shida, walioshika mpini kwa sasa wanaelewa hivyo.

naona bado hawajui what goes around, comes around
 
hakuna haja ya upotoshaji gentleman.
Kama Taifa, hali ya kisiasa ni nzuri sana na inayositawi na kushamiri kila uchwao hasa kipindi hiki Taifa linapoelekea kwenye uchaguzi wa kihistoria October mwaka huu 2025.

vibaka na matapeli wa kisiasa waropokaji nchini, kamwe hawawezi kuzuia uchaguzi wala kuyumbisha umoja, amani na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

Hakuna haja ya kutafuta kiki kipotoshaji gentleman 🐒
Gentleman ikiwa hali ni shwari kama unavyosema hakuna sababu ya kutumia nguvu kwa wapinzani.
 
Gentleman ikiwa hali ni shwari kama unavyosema hakuna sababu ya kutumia nguvu kwa wapinzani.
hakuna mahali nchini nguvu inatumika dhidi ya upinzani dhaifu sana na ulipoteza uelekeo nchini.

waTakao kiuka sheria za nchi watawajibishwa bila huruma na bila kujali mayowe ya kisiasa kutoka ndani au nje ya nchi 🐒
 
Back
Top Bottom