Mods Unganishi hii mada na thread husika then FUNGIA huyu Member
Mi ni mkristo kamili kabisa.......ila hii kauli mbiu yao sioni kama ina ubaya kama ikichukuliwa ya kitaifa kuliko kidini zaidi........lkn kutakuwa tunabomoa kama tutaanza kuseme dini hii ndio ilileta uhuru......hii ndio ilileta hki na kile.
Inakuaje ule waraka wa mwanzo ukaitwa wa Wakatoliki na huu wa sasa tunakimbilia kuuita wa Waislamu?.
Inamaana kuna asasi inayowaunganisha waislamu wote wa Tanzania imeubariki waraka huo ama ndio mazoea yaleyale ya kuwa wepesi kukimbilia, waislamu hivi, waislamu vile na tukija kwa wakristo tunaheshimu utafauti wao?
Shura ya Maimamu na Muungano wa Taasisi za Jumuiya za Kiislamu ni makundi tu ya waislamu na sio ndio waislamu. Na hivyo unapswa kutambulika kama waraka wa Shura ya Maimamu na Muungano wa Jumuiya za Kiisalamu na sio vinginevyo.
Kesho tutasikia waislamu wamefanya hivi mkiristo, waislamu wamemfranya vile mpagani, waislamu wamefanya haya....mambo ambayo tayari yamekuwa yakiendelea katika jamii yetu na tunaona ni ya kawaida.....
Ukivunja MISINGI uwe tayari MISINGI kukuvunja wewe....
omarilyas
Unasoma hapa kila siku bado hujaelewa kwa nini umeitwa waraka wa wakatoliki ? Duh pole sana
mimi nadhani hakuna ubaya kwa mtu kuweza kueleza alichonacho na hili ni kweli lipo maana hata vyombo mbali mbali vimeandika kuhusu waraka huo, tena hadi kwenye nguzo za simu wamebandika, kwa hiyo tusubiri huo uzinduzi ndiio tutajua kunani humo ndani. Kingunge alitabiri haya, nchi inapotea hii, mwishowe kila dini itasema ichague watu wa dhehebu lao, sio mwanzo wa machafuko huu kweli jamani? Na sidhani kama Nyerere angekuwepo angeyakubali haya yanayotokea sasa. mie yangu macho
Kwa kuwa Waislamu nchini wamekuwa wakihadaiwa na kila kiongozi anayeingia madarakani masheikh wanataka kuhamasisha Waislamu nchi nzima kukataa katakata tabia ya kudanganywa kama watoto.
Kingunge alitabiri haya, nchi inapotea hii, mwishowe kila dini itasema ichague watu wa dhehebu lao,